INAUZWA Mashine ya pressure washer inauzwa!!!!...

INAUZWA Mashine ya pressure washer inauzwa!!!!...

MkamaShapu

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2013
Posts
317
Reaction score
169
Ni mashine aina ya Boss!!

Ina hitirafu kwenye Pump( valve zimeungua na zinapatikana kariakoo)

Nakupa na vifaa vyote

Bei 350,000/=
Mazungumzo yapo!!

Sababu ya kuuza!!

Kijiwe kimekufa na sina mpango wa kuanzisha kijiwe kingine!!!...,

Napatikana Mburahati kigogo!!

Mawasiliano 0653 722605
IMG_9629.JPG
IMG_9624.JPG
 
Bei ya mashine mpya kwa hiyo iliyoungua ni sh ngapi mkuu
 
Sio muda mrefu hata mwezi sijamaliza maana hata ile oil niliyonunulia sijabadilisha!!..
 
Mkamashapu nakumbuka alikuwa askari mmoja matata sana, ndiye wewe?
 
Biashara za bongo kwa kweli! ngoja niishie hapo.
 
Back
Top Bottom