Job Richard
JF-Expert Member
- Feb 8, 2013
- 3,876
- 2,190
- Thread starter
-
- #21
Hiyo "nasikia" kwanini usiende kwa muuza juisi ukaone jinsi mtambo huo unavyofanya kazi? Muwa unapta mara moja tu hakuna kuruia, inachuja yenyewe....Naskia za kichina sio nzuri baada ya muda wakati unakamua muwa inatoa vitu vyeusi.
Naelewa lakini najiuliza tu kwa nini mtu akanunue ya sido @1.5 m ya roller mbili wakati ya kichina roller 3 ni chini ya hapo?Tafakari lazima kuna namna sio bure.Hiyo "nasikia" kwanini usiende kwa muuza juisi ukaone jinsi mtambo huo unavyofanya kazi? Muwa unapta mara moja tu hakuna kuruia, inachuja yenyewe....kapi linalotoka unaweza kupiga kiberiti likawaka maana inakamua hakuna kubakiza hata tone la juisi maana muwa unapita kwenye roller 3 wakati hizi made in Sido niroller mbili.
Hapa jijini MWanza ni mimi tu mwenye mashine hizi maana hap kijiweni kwangu limegeuga banda la maonyesho ya saba saba! Asante JF maana ni hapa nilipojifunza juu ya mashine zenye roller 3
Huyo aliekuambia kaongea asichokijua kila mashine ukiitumia vibaya itaharibika tu Nina mwaka Wa pili kwenye hizi mashine sina lawama Hata moja na lolote tunawasaidiaNaskia za kichina sio nzuri baada ya muda wakati unakamua muwa inatoa vitu vyeusi.
Mkuu china uzalishaji Wa mashine au bidhaa nyingi ni chini ndio maana gharama za mashine zipo chini NA UKISEMA CHINA MASHINE SIO BORA NIAMBIE SOKO LA USA NANI ANATAMBA?Naelewa lakini najiuliza tu kwa nini mtu akanunue ya sido @1.5 m ya roller mbili wakati ya kichina roller 3 ni chini ya hapo?Tafakari lazima kuna namna sio bure.
Piga Kazi Mkuu waache wanaokushangaa mashine zinagombaniwa kama njugu za mbeya anaetaka karibu waeleze Dunia ishabadilika 0659567058 weka oda mashine yako ya juisi ya miwaHiyo "nasikia" kwanini usiende kwa muuza juisi ukaone jinsi mtambo huo unavyofanya kazi? Muwa unapta mara moja tu hakuna kuruia, inachuja yenyewe....kapi linalotoka unaweza kupiga kiberiti likawaka maana inakamua hakuna kubakiza hata tone la juisi maana muwa unapita kwenye roller 3 wakati hizi made in Sido niroller mbili.
Hapa jijini MWanza ni mimi tu mwenye mashine hizi maana hap kijiweni kwangu limegeuga banda la maonyesho ya saba saba! Asante JF maana ni hapa nilipojifunza juu ya mashine zenye roller 3
propaganda za zaman hzo nyie ndo mnafanya wanunuz waanze kua na wasiwas na bidhaa zenu miruz ming humpoteza ndegeJana nimetumiwa mashine yangu ya pili kuja Mwanza baada ya ile ya kwanza niliyoagiza mwezi uliopita kufanya "maajabu" PAndisha bei ya mashine zako mkuu....hahahahaha!
Nataka kabla watu hawajashtuka niwe nazo 5.
Ubarikiwe sana mkuu.
Mkuu acha kukalili maisha, wakati upo unaponda hapa JF, mashine yangu ya tatu inatumwa leo kuja MWanza! Asante JFpropaganda za zaman hzo nyie ndo mnafanya wanunuz waanze kua na wasiwas na bidhaa zenu miruz ming humpoteza ndege
inatumwa kwenye simu sioMkuu acha kukalili maisha, wakati upo unaponda hapa JF, mashine yangu ya tatu inatumwa leo kuja MWanza! Asante JF
View attachment 1172285
Mh! kweli JF ni msitu mkubwa, inaonekana wewe hujawai kutuma au kupokea kifurushi kwenye mabassi sio?inatumwa kwenye simu sio
Daaah..!! kwer Jf n msitu mkubwa sijui kwa uko kwenu uku kwetu vifurush hua tunanunua na kutumua kwa njia ya simu kupitia mawakala mfno kifulush cha halichach tigo au saiz yako unatumaje kwa njia ya gar kikufikie kwenye simu au umemoka sigara bubu nduguMh! kweli JF ni msitu mkubwa, inaonekana wewe hujawai kutuma au kupokea kifurushi kwenye mabassi sio?
Mkuu acha kukalili maisha, wakati upo unaponda hapa JF, mashine yangu ya tatu inatumwa leo kuja MWanza! Asante JF
View attachment 1172285
Nina vijiwe vitatu kwahiyo inategemea upo sehemu gani ambapo ni karibu....Kona ya Bwiru, Nyasaka, KisekeNaomba Nije kujifunza kwako mkuu,,, unapatikana Mwanza sehemu gani
Mkuu namba zangu na ofisi zipo wazi huuziwi Mashine uchochoni Nina Verified I'd Job Richard namba ya ofisi 0762612213 najidakia store Kwetu huduma kwanzaHakuna wa dar mwenye hiyo mashine wakuu? Tujionee kwanza.
nipigie 0762612213 uende ukazione hata humu wapo waliopo dar na sio muwa tu mashine nyingi tunahudumiaHakuna wa dar mwenye hiyo mashine wakuu? Tujionee kwanza.