INAUZWA Mashine za kukamulia ng'ombe

Ivi na mashine za kutengeneza kinyesi cha ng'ombe kuwa BIOGAS
Na mashine ya kuitoa iyo BIOGAS kuiweka katika mitungi ya Gas
 
Weka pia bei, inatumia nishati gani nk

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mota pale mkuu halafu unauliza inatumia nishati gani...wamemaliza maonyesho Jana,nimejipatia moja kwa usd 600,zilikuwepo pia Hadi usd 500, wameacha makubaliano na watakaokuwa mawakala wao hapa tz,nadhani farmers center wa dar ni mojawapo ya mawakala tarajiwa
 
Kwa hiyo bei, nadhani ni fursa nzuri kwa wafugaji na hata wachungaji wa ngo'mbe. Changamkieni kwani bei yake ni ya kawaida sana ukilinganisha na faida utakayopata ukiwa nayo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…