Mashine za kutengeneza chakula cha mifugo

Mashine za kutengeneza chakula cha mifugo

Je, aunt wako hahitaji formula kwa sasa?
Unazo?
Tushirikishane kama inawezekana tafadhari. Alijaribu formula nyingi lakn matokeo hayakiwa mazuri sana ikabidi arudi kununua chakula kutoka silverlands, ingawa kipo juu bei yake.
 
Unazo?
Tushirikishane kama inawezekana tafadhari. Alijaribu formula nyingi lakn matokeo hayakiwa mazuri sana ikabidi arudi kununua chakula kutoka silverlands, ingawa kipo juu bei yake.
Njoo Pm utaniachia namba yako huko
 
nina gunia 150,,gunia moja nauza 120,000,,kiwanda kipo sehem gan hapo dar,,niuganishe mkuu niwe nawakusanyia mahindi na mashudu then nawaleteeni hapo
Acha utani 120000 au umekosea sifuri moja maana hapa Arusha tu gunia 50000,au unuzia sudan nini hayo mahindi yako?
 
Back
Top Bottom