Mashine za kutoa Coupon Ndani ya Bank

Mashine za kutoa Coupon Ndani ya Bank

Mparee2

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2012
Posts
3,092
Reaction score
5,386
Kumekuwa na huu utaratibu wa kuweka mashine ambapo mteja anatakiwa kuchukua coupon na kusubiri kuitwa ndio apate huduma; Naomba kupata maoni yako
1. Kama unazipenda au kama huzipendi na kwa nini?
2. Je zinapunguza muda wa kusubiri huduma ya Bank au Zinaongeza?
3. Nini kiboreshwe?
 
Kumekuwa na huu utaratibu wa kuweka mashine ambapo mteja anatakiwa kuchukua coupon na kusubiri kuitwa ndio apate huduma; Naomba kupata maoni yako
1. Kama unazipenda au kama huzipendi na kwa nini?
2. Je zinapunguza muda wa kusubiri huduma ya Bank au Zinaongeza?
Nazipenda. Hazipunguzi wa kuongeza muda wa kusubiri ila zinaleta utaratibu mzuri wa kuhudumiwa kuwa wa kwanza kufika ndio wa kwanza kuhudumiwa. Ukipata coupon yenye namba ya mbali waweza hata kuondoka na kurudi baadaye.
 
I prefer the machines because of their sophisticated queue management nature, customers wait to be served while seated and resting comfortably and favors all kinds of customers. The traditional queuing requires people to stand for some time as they wait for their turn to be served which can be unfriendly to people with special conditions eg, the elderly, pregnant women, people with disabilities etc .

Research njema 😜😜
 
Back
Top Bottom