Mashine za kutotolesha mayai (Incubators): Upatikanaji wake, aina zake, matumizi na ushauri

Mashine za kutotolesha mayai (Incubators): Upatikanaji wake, aina zake, matumizi na ushauri

Incubator yenye uwezo wa mayai 5000 inauzwa kwa bei ya chini sana 6mil. Ni automatic incubator na mpya kabsaa. Inatumia umeme. Usage chicken,duck,turkey,piegon,ostrich na emu. Warranty ni miaka 3. Kwa mawasiliano zaidi email ushokola2002@gmail.com au ni pm.
 
milioni 6 ndio bei sawa na bure????
weka picha! uko wapi na mawasiliano!
 
Unaweza kuweka specifications zake na picha tujue ni aina gani na pia kwanini unauza incubator hiyo imetengenezwa wapi? pia weka contact zako hasa e-mail.
 
Unaweza kuweka specifications zake na picha tujue ni aina gani na pia kwanini unauza incubator hiyo imetengenezwa wapi? pia weka contact zako hasa e-mail.

ni automatic, mpya kabsaa, inatumia umeme, usage reptile,chicken,duck,turkey,piegon. Waranty miaka 3. Maelezo zaidi ushokola2002@gmail.com nipo Dar.
 
KAMPUNI yetu ya MGE ni kampuni iliyoanzishwa na wataalamu waliobobea ktk fani mbali mbali.Sisi ni wakufunzi wa shule na vyuo vya ufundi VETA.

Tunaunda mashine na mitambo mbali mbali kwa mahitaji ya mtu yeyote.

Kwa sasa tunatangaza bidhaa zetu za EGG INCUBATOR(mashine za kutotoleshea mayai ya kuku nk).

Kama unahitaji tupigie simu tutakuundia yoyote unayotaka kwa gharama utakayoimudu.

Hata ukitaka ya umeme;ya mafuta ya taa;inayogeuza mayai automatic au unayogeuza mayai manually.

Tunatengeneza kuanzia mayai theathini mpaka mayai elfu kumi(Domestic egg incubator and Com. egg Incubator).

Tunapatikana Makao makuu Dar es salaam:Kinondoni na Ilala:mwl.Eliasante 0784413039.e mail:mwakalingaeli@gmail.com.

Masasi branch:Mwl Magoa:0787150720.

Incubator zetu ni imara na zinadumu;zinatotolesha asilimia 95%.
Mikoani tuna wawakilishi pia zinatumwa.
"MGE INCUBATORS IS YOUR WAY TO SUCCESS."
 
KAMPUNI yetu ya MGE ni kampuni iliyoanzishwa na wataalamu waliobobea ktk fani mbali mbali.Sisi ni wakufunzi wa shule na vyuo vya ufundi VETA.

Tunaunda mashine na mitambo mbali mbali kwa mahitaji ya mtu yeyote.

Kwa sasa tunatangaza bidhaa zetu za EGG INCUBATOR(mashine za kutotoleshea mayai ya kuku nk).

Kama unahitaji tupigie simu tutakuundia yoyote unayotaka kwa gharama utakayoimudu.

Hata ukitaka ya umeme;ya mafuta ya taa;inayogeuza mayai automatic au unayogeuza mayai manually.

Tunatengeneza kuanzia mayai theathini mpaka mayai elfu kumi(Domestic egg incubator and Com. egg Incubator).

Tunapatikana Makao makuu Dar es salaam:Kinondoni na Ilala:mwl.Eliasante 0784413039.e mail:mwakalingaeli@gmail.com.

Masasi branch:Mwl Magoa:0787150720.

Incubator zetu ni imara na zinadumu;zinatotolesha asilimia 95%.
Mikoani tuna wawakilishi pia zinatumwa.
"MGE INCUBATORS IS YOUR WAY TO SUCCESS."
PICT0237.JPG
Cabinet-Incubator.jpg
 
Asante sana mkuu kwa taarifa nzuri namna hii..

Ingependeza pia kama ungeweka "pilot price" yaani makisio ya bei kwa ujumla kwa incubator kwa category mbali mbali za incubator kwani siku hizi kuna mashine za mchina znuri sana na bei yao inaweza kuwa cheap kulingana na za hapa nyumbani, lakini pia efficience
 
KAMPUNI yetu ya MGE ni kampuni iliyoanzishwa na wataalamu waliobobea ktk fani mbali mbali.Sisi ni wakufunzi wa shule na vyuo vya ufundi VETA.

Tunaunda mashine na mitambo mbali mbali kwa mahitaji ya mtu yeyote.

Kwa sasa tunatangaza bidhaa zetu za EGG INCUBATOR(mashine za kutotoleshea mayai ya kuku nk).

Kama unahitaji tupigie simu tutakuundia yoyote unayotaka kwa gharama utakayoimudu.

Hata ukitaka ya umeme;ya mafuta ya taa;inayogeuza mayai automatic au unayogeuza mayai manually.

Tunatengeneza kuanzia mayai therathini mpaka mayai elfu kumi(Domestic egg incubator and Com. egg Incubator).

Tunapatikana Makao makuu Dar es salaam:Kinondoni na Ilala:mwl.Eliasante 0784413039.e mail:mwakalingaeli@gmail.com.

Masasi branch:Mwl Magoa:0787150720.

Incubator zetu ni imara na zinadumu;zinatotolesha asilimia 95%.
Mikoani tuna wawakilishi pia zinatumwa.
"MGE INCUBATORS IS YOUR WAY TO SUCCESS."
 
Nimeiona... So nice...... Ni ya kijasiliamal au exported.... Pole kwa maswal :thumbup:
 
KAMPUNI YA MGE NI KAMPUNI INAYOJISHUGHULISHA NA SHUGHULI MBALI MBALI ZA UFUNDI KWA KUUNDA MITAMBO NA MASHINE MBALI MBALI KULINGANA NA MAHITAJI YA WATEJA.

KAMPUNI INAWASHIRIKISHA WAALIMU MBALI MBALI WA UFUNDI KTK SHUGHULI ZOTE ILI KUTOA BIDHAA ITAKAYOFAA.

KAMPUNI IMESAJILIWA,NA SIDO MTWARA NA SIDO DAR ES SALAAM NI WALEZI WAKUU WA KAMPUNI HII.

HIVI SASA KAMPUNI INATANGAZA KUWA INAUNDA MASHINE ZA KUTOTOLESHEA MAYAI YA KUKU ZINAZOTUMIA UMEME NA ZINAZOTUMIA MAFUTA YA TAA(EGG INCUBATOR).MASHINE ZINATOTOLESHA VIZURI KWA ASILIMIA 95%.

PIA TUNAUNDA INVERTER ZA KUENDESHA VYOMBO VIKUBWA VYA UMEME KAMA FRIJI NK.
TUNAUNDA KUFUATANA NA MAHITAJI YAKO;KWA UKUBWA NA UWEZO WA MASHINE.

TUNAPATIKANA DAR ES SALAAM MAKAO MAKUU:MWL MWAKALINGA :0784413039;E MAIL:mwakalingaeli@gmail.com.
NA MASASI;MWL MAGOA:0787150720.

KWA WATEJA AMBAO WAKO MIKOANI BIDHAA ZETU ZINATUMWA.

"MGE TUPO KUKUSIKILIZA"
Cabinet-Incubator.jpg
 
Mazingira niliyopo yana umeme ila si wa hakika maana sina jenereta la kutumia kama umeme utakatika, ningependa kupata ushauri wakuu, ni wapi naweza kupata incubator ya kutumia mafuta ya taa yenye uwezo wa kufanya kazi angalau kwa 85%. (Iwe na uwezo wa kutotolesha mayai 150 hadi 300.

Nitapenda kujua na gharama za manunuzi.
 
Mkuu mashine za kutumia mafuta ya taa kwa kweli hazifai ni 100% manual unatakiwa uishi pembeni ya mashine, hivyo mashine nzuri ni za automatic ambazo unaweza ukawa hata unaenda kazini na kurudi jioni kuchungulia labda umeme ukatike, Mahine ukiwa na uhakika wa umeme unaweza hata maliza 10 days hujaifungua au hata kuingalia inaendela vipi, make ziko ambazo hata maji yanajiongeza yenyewe pale ynapo pungua.

So tafuta mashine automatic, kuhusu umeme nyingi hazili umeme kiasi kwamba unaweza ukawa na sola tu ya kawaida na bado ukapiga kazi, na hata generea bado ni zuri mashine ya mayai 150 -200 inaendeshwa na jenereta ndogo sana.
 
kuna incubator iko sokoni.. ni automatic ila mayai unageuza manually. iko very effecient na utotoleshaji ni zaidi ya asilimia 85.

inatumia umeme mdogo sana. hata solar yenye uwezo wa kuwasha taa mbili inauwezo wa kuiendesha.

capacity yake ni mayai 400. inauzwa kwa sh laki saba. kama uko interested ni pm mawasiliano yako.
 
kuna incubator iko sokoni.. ni automatic ila mayai unageuza manually. iko very effecient na utotoleshaji ni zaidi ya asilimia 85.

inatumia umeme mdogo sana. hata solar yenye uwezo wa kuwasha taa mbili inauwezo wa kuiendesha.

capacity yake ni mayai 400. inauzwa kwa sh laki saba. kama uko interested ni pm mawasiliano yako.

Ni automatic ila mayai inageuza manualy? Kwan maana ya automatic ni nini?
 
Ni automatic ila mayai inageuza manualy? Kwan maana ya automatic ni nini?

maana yangu ni namna ambavyo ina regulate joto. imefungwa vifaa vya kidigitali ambavyo vinauwezo wa kumaintaini kiasi cha joto unachohitaji. kama ukiseti unahitaji joto la nyuzi 37, basi joto halitazidi wala kupungua kiasi icho. Pia matumizi yake ya umeme ni ya unafuu mno kwani haitumii heater kama chanzo cha joto. asante.
 
Mkuu mashine za kutumia mafuta ya taa kwa kweli hazifai ni 100% manual unatakiwa uishi pembeni ya mashine, hivyo mashine nzuri ni za automatic ambazo unaweza ukawa hata unaenda kazini na kurudi jioni kuchungulia labda umeme ukatike, Mahine ukiwa na uhakika wa umeme unaweza hata maliza 10 days hujaifungua au hata kuingalia inaendela vipi, make ziko ambazo hata maji yanajiongeza yenyewe pale ynapo pungua.

So tafuta mashine automatic, kuhusu umeme nyingi hazili umeme kiasi kwamba unaweza ukawa na sola tu ya kawaida na bado ukapiga kazi, na hata generea bado ni zuri mashine ya mayai 150 -200 inaendeshwa na jenereta ndogo sana.

Hio ndogo ya mayai 150 inaweza patikana kwa bei gani????
 
Nina mashine ya mayai 176 na hapa nyumbani ninatumia solar maana umeme bado haujafika. Jenereta yenye ukubwa gani inaweza nisaidia kufanya shughuli ya utotoresjaji? Cc.Chasha poultry farm na yeyote mwenye ufahamu katika hili.
 
Nina mashine ya mayai 176 na hapa nyumbani ninatumia solar maana umeme bado haujafika. Jenereta yenye ukubwa gani inaweza nisaidia kufanya shughuli ya utotoresjaji? Cc.Chasha poultry farm na yeyote mwenye ufahamu katika hili.

Mkuu inategemeana na consuption yake ya umeme, cheki huwa wamenadika ila mara nyingi mashine ya aina hiyo matumizi yake ya uemem ni madogo mno
 
Jamani mimi naulizia mayai ya kienyeji tu maana leo incubator yangu imetema mzigo, wajinga waliniuzia mayai mabovu tray nzima

Tehe tehe, mkuu ukitaka kufaidi tengeneza parents wako mwenyewe, ndo suluhisho pekee, kununua mayai kwa watu yataka moyo make unaweza nunua mayai ukaambiwa ni fertilized baada ya kuweka kwenye mashine unakuja kugundua sio, au yanaweza kuwa fertilized lakini yakawa yamepitiliza mudawake yaani yana zaidi ya siku 7, hivyo mayai ya kuyaamini ni yale unayo yatoa kwenye kuku wako, haya ya kununua ni 50%
 
Back
Top Bottom