Mkuu mashine za kutumia mafuta ya taa kwa kweli hazifai ni 100% manual unatakiwa uishi pembeni ya mashine, hivyo mashine nzuri ni za automatic ambazo unaweza ukawa hata unaenda kazini na kurudi jioni kuchungulia labda umeme ukatike, Mahine ukiwa na uhakika wa umeme unaweza hata maliza 10 days hujaifungua au hata kuingalia inaendela vipi, make ziko ambazo hata maji yanajiongeza yenyewe pale ynapo pungua.
So tafuta mashine automatic, kuhusu umeme nyingi hazili umeme kiasi kwamba unaweza ukawa na sola tu ya kawaida na bado ukapiga kazi, na hata generea bado ni zuri mashine ya mayai 150 -200 inaendeshwa na jenereta ndogo sana.