Down To Earth
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 21,940
- 16,643
Mkuu nahitaji moja,tupia bei,ila mayai 96 mbona ni machache sana?kama Mtu unataka upige bness?mm nahitaj kubwa ambayo inaweza kutotoa mayai let say tray 20 at a time,au zaidi,mayai 96 mkuu ni tray 3 tuu.kama unapiga bness ni hasara kaka
mkuu kama ushaipata please feedback.. iam in need too..