secret file
JF-Expert Member
- Sep 10, 2019
- 5,843
- 8,637
Hao jamaa wakidakwa nadhani watafungwa bila kupitia court
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivyo vyombo, vinalinda nchi, chama au kikundi cha watu?Uzembe huo,mashine muhimu kama hizo zinaibiwaje na tuna vyombo vya ulinzi na usalama
Sent using Jamii Forums mobile app
Nawewe uliamini cpu za dpp zimeibiwa? hao jamaa walishawahi kuchoma hadi benki
Ukishasema hivyo tu!! hawawezi kushikwa kwa madai ya kuwa hawapangiwi!! iiiiii in someones voicekamateni wafanyakazi wote wa NIDA wikaya mkuu wa wilaya mkuu wa mkoa hata ikiwezekana mkurugenzi wote wawekwe ndani kwa uzembe.
Vifaa vilivyoibwa bila shaka itakuwa ni kompyuta, printers za kawaida, labda vifaa vya kusoma alama za vidole, kamera n.k, vifaa ambavyo kibaka yoyote mwenye njaa anaweza kuiba...Najiuliza mashine kama hizo mtu anaenda kuzitumia kwa shughuli gani
Mkuu kwema wewe unaamini hilo??Kumbuka kuwa hawa ni vijana wa lumumbaSasa tuone wasiojulikana Kama hawatakamatwa
Yaani hapo watoto pendwa wanamuundia zengwe mwenzao! Jamani??!!1Vifaa vimeibiwa NI vya wilaya ya ARUSHA nahuyo anaetoa maelezo ya kuibiwa n mkuu wa wilaya ya ARUMERU Kama mm ningekuwa RPC ARUSHA ningeanza na huyu mkuu wa wilaya ya ARUMERU angenisaidia kwenye uchunguzi wa wizi huo.
Hawa ni vijana wa mwananyamala na lumumba sio wa kuwaaminiMaswala ya hivyo vitu ni mali ya Taifa wezi hawajui hayo.
Wao wanachojua Kamera ukipiga picha inatoka fresh,Laptop ukiingia insta inapiga kazi.
Full Stop.
Sent using Jamii Forums mobile app