Mashine za NIDA zote wilaya ya Arusha zaibwa

Ila ccm ni wapiga dili sana hata hao wafanyakazi wa nida wanaweza wakaibiwa

Sent using Jamii Forums mobile app



Wanaweza kuibwa au kuibiwa??-- kuna kuibwa na kuibiwa, mfano; mtu anaweza kusema hivi; "nimeibiwa pesa yangu, pesa yangu imeibwa." --- nadhani utakuwa umeelewa au rejea main post uone jinsi muandishi alivyokuwa mahiri katika upande huo.
 
HAWA WALABATA WA ARUSHA HATARI SANA YAANI WAMEAMUA KUUIBA MFUMO ILI WAKATOE VITAMBULISHO KWA PENGINE WAGENI WASIOSTAHILI KUWA NAVYO KWA PESA NDEFU,ALIMRADI WAENDELEE KUPIGA BIERY.
#WAHUSIKA WAHAKIKISHE VIFAA VYOTE VIMEPATIKANA MARA MOJA.
 
Kama huelewi elewa hivi..... bwana mkubwa katoa amri isiyotekelezeka ya siku 21.(haitekelezeki)
ili kuongeza muda mashine zitaibiwa na hawa kina MURRO/ Kwa uongo. baada ya hapo utaongezwa muda katika wilaya husika na kwinginepo ili zoezi likamilike. hapo aibu itakuwa imefichwa.
elewa hivyo, mlinzi aibe yale madude apeleke wapi?
 
Aisee kweli kabisa
 
Natabiri kuanzia 2021 kila kosa litakuwa ni kosa la kuhujumu uchumi!
 
Kwahiyo hizi sasa ni za kukomolea au anapewa mtu kama anavyostahili?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…