Mashirika ya ndege yaukimbia uwanja wa ndege Chato. Hakuna ndege yoyote inayotua tena uwanjani hapo!

Duniani hakuna jipya enzi za mobutu Mashirika ya ndege ya kimataifa yalikuwa yanatua Gbadolite pia sasa makazi ya popo na bundi na chato ndivyo itakuwa
Jiwe alikuwa rais wa hovyo mno
Angalau na yeye alizifaidi pesa za shamba la bibi, ulitaka waencelee kuzitafuna maraisi wengine tu??
 
Angalau na yeye alizifaidi pesa za shamba la bibi, ulitaka waencelee kuzitafuna maraisi wengine tu??
acheni uwongo..Uwanja WA chato kunandege mbili Kwa wiki...Alhamis na jmosi..Na Kwa sasa kunawatu WA Ngara hasa kambini ya TemboNickel wanatumia sana
 
Huo uwanja haukutakiwa kujengwa,wakati wake ulikuwa bado, Maghu alituingiza Chaka, kwa vile huo ni kwao, kiuchumi,wakati ilikuwa bado.
 
ccm tafuta mteja tumuzie huu uwanja acha kuuza vitu ambavyo vinajiendesha kwa faida kama bandari.
 
Tanroads alaf Mayanga contractors wakajenga uwanja wa ndege.

Watu wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege mbona hawatajwi?

Sijui nilitaka kusema ila ugomvi wa Wanasiasa huwa mkubwa sana baina yao na Wahasibu, Wagavi na Wasimamizi wa fedha za miradi.
 
Kama ulitumika wakati wa mazishi pia ilitosha.

Huo ilikuwa sadaka yetu kwa Magufuli. Alitumikia taifa kwa uaminifu na sasa tunayaona.

Kuna mabilioni ya kodi yanapotea na wala hayajulikani yanapotelea wapi.
Hata wakati wake ilipotea 1.5 + trillion.
 
Kama ulitumika wakati wa mazishi pia ilitosha.

Huo ilikuwa sadaka yetu kwa Magufuli. Alitumikia taifa kwa uaminifu na sasa tunayaona.

Kuna mabilioni ya kodi yanapotea na wala hayajulikani yanapotelea wapi.
Alikuwa mwizi fisadi mkanda mdini mkabila
Jambazi na muuaji
Bora Mungu aliamua ugomvi wakati Muafaka
 
Maendeleo huwa yanafuata patterns, ujenzi wa strategic infrastructure ulipaswa u reflect necessity (demand) chato haikuwa inahitaji uwanja wa ndege zaidi ya upuuzi na ujinga wa mwendazake. Ni mikoa ina miji mikubwa tu haina airport hata mjii mkuu wa nchi hauna international Airport (jiwe) alikuwa zaidi ya mshamba
 
Tawi la crdb chato vp biashara?? Fact za uwekezaji Tz moja kubwa ni Jee,uwekezaji husika utamfurahisha Rais na nduguze? Kwasasa maneno ni kizimkaz
 
Kama ulitumika wakati wa mazishi pia ilitosha.

Huo ilikuwa sadaka yetu kwa Magufuli. Alitumikia taifa kwa uaminifu na sasa tunayaona.

Kuna mabilioni ya kodi yanapotea na wala hayajulikani yanapotelea wapi.
Mkuu;

Hisia za upotevu wa fedha ni za kufikirika, sio za kweli na sio halisi! Ukibisha tuwekee uthibitisho wake!
 
Siyo kweli jamani mbona Jana nimeona kunguru, njiwa, pugi, madudumizi, nguya, visirimilo, utongwa, visonzi, vikucha, ninga, kware, n.k wametua na kujivinjari kwenye uwanja wa ndege ulojengwa level ya Bitumen au mna wivu? Au Sijawaelewa?
Kwa kuongeza kidogo ndege za abiria zimesitishwa kupisha ikolojia inayoendelea pale ikiwamo viumbe kujamiiana na kuongezeka Ili kujaza pori la chato na pia viumbe kuwindana nadhani nasema kweli ndugu zangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…