Mashirika ya ndege yaukimbia uwanja wa ndege Chato. Hakuna ndege yoyote inayotua tena uwanjani hapo!

🤣🤣🤣🔊
 
Uwanja wa Chato ulijengwa kwa haraka kama sehemu ya mkakati wa Bahima Empire …….ndugu yake hana sehemu ya kuweka ndege zake za kijeshi na ameziombea Ethiopia …ambako nako kutokana na Migogoro ni tabu , kikubwa siku moja mkoa wa Chato ungejimega ni kuwa sehemu Yao ..huo uwanja ni sehemu ya mkakati Mpana ndio maaana uliharakishwa sana
Kama Hakuna wateja basi TPDF watapeeleka kituo cha jeshi la anga cha mwanza Kiwe kinautumia
 
Hahahahaaah Kitombile hamna alternative? Ikibidi muanika pamba zenu au mchunge ng'ombe pembezoni
Figisu hizo japo hizo pesa za kujenga li uanja chato ni bora kiwanja chetu cha Mwanza kingejengwa nahuo uwanja utaendelea kufanyiwa figisu na hawamu hii mpka waanikie dagaa wa ziwani, hii nchi ngumu sana.
 
Bora mchunga ngombe alijitaidi kuhakikisha umeme unapatikana muda wote, wa sasa yeye ni mchunga nini au mchunga ngedere?
😄 🤣 😂 😆 😄 naona unasaka ugomvi na wavaa makobazi sasa
 
Hata zile Ndege za Mseveni haziendi tena
 
All in all kujenga international Airport Chato ilikuwa wazo na kijinga from economic perspective. Kwanin uwanja wa Mwanza usingepanuliwa uwe international?!! Mwanza mji mkubwa unahitaji international Airport ambao kwa namna flani pia uko centre ya east African countries na pia ni viable economically. Tatizo la nchi hii vipaumbele ni hiisia na mapenzi binafsi ya rais badala ya kuwa priorities ziwe determined na economic benefits.
 
Hata kwa Matendo jiwe alimsadifu mobutu kwa roho mbaya na ubinafsi, ukanda na ukabila na kuanzisha miradi ya hovyoo
 
What happens wanasiasa wanapofanya maamuzi based on siasa na sio professionalism , au kusikiliza ushauri wa wataalam, matokeo yake project hewa zinazoleta hasara
 
What happens wanasiasa wanapofanya maamuzi based on siasa na sio professionalism , au kusikiliza ushauri wa wataalam, matokeo yake project hewa zinazoleta hasara
Exactly rais anaamini ana akili kuliko watu wengine na anajua kila kila kitu mwisho wake anasababishia nchi hasara kwa maamuzi ya hovyoo
 
Kama ulitumika wakati wa mazishi pia ilitosha.

Huo ilikuwa sadaka yetu kwa Magufuli. Alitumikia taifa kwa uaminifu na sasa tunayaona.

Kuna mabilioni ya kodi yanapotea na wala hayajulikani yanapotelea wapi.
Kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…