Mashirika ya Ujasusi ya Urusi yana nguvu sana kwa sababu ya kukabiliana na mshirika ya ujasusi makubwa hapa dunianai kwa wakati mmoja na hata jeshi

Mashirika ya Ujasusi ya Urusi yana nguvu sana kwa sababu ya kukabiliana na mshirika ya ujasusi makubwa hapa dunianai kwa wakati mmoja na hata jeshi

Ha ha ha ..Hawa Pakistani wanna Nini? Nawazkia Sana? Tujuzane cjwahi ckia chochote kipya walichofanya zaidi ya organization ya mujahidiin nchini Afghanistan dhidi ya wasoviet..
Isitoshe Hawa Ni mabingwa wa kufeli eg wameshindwa Vita zote zid ya India..


Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi unajua maana ya shirika la kijasusi,na taarifa ya mwezi huu mwanzoni ya umoja wa mataifa ndo inasema hivyo kuwa Pakistan ni namba moja

~.A Philanthropist|Economist|Business Consultant|Entrepreneur|Agricultural Applied &Natural Resources Economics Mentor.~
 
Top 10 Best Intelligence Agencies in the World in 2019

10. Ministry of State Security (MSS)

Formed in 1983, the Ministry of State Security is the security agency and intelligence agency of China. It is headquartered in Beijing and has 17 known bureaus or divisions, including a counterintelligence division and a social research division.
The MSS plays a central role in censoring the internet in China, cutting off the population from the outside world and allowing the government to control what influences the Chinese people. The agency is also responsible for handling internal dissent and anything that might cause citizens to rebel against the ruling Communist Party.
The MSS is heavily involved in economic espionage, with Chinese telecommunications giant Huawei being a prime suspect in helping the agency gather intelligence from around the world. With over 100,000 intelligence personnel both inside and outside China, the MSS has been able to play its part effectively, especially in regard to national security.
9. Australian Secret Intelligence Service (ASIS)
Headquartered in Canberra, the Australian Secret Intelligence Service is the Down Under equivalent of the Central Intelligence Agency. It mainly deals with international or foreign intelligence and typically coordinates with other similar agencies around the world.
The ASIS was formed in 1952, though the public remained unaware of its existence until 1972 when Australian tabloid newspaper The Daily Telegraph exposed the agency. Because you can always count on tabloids to dish out the dirt on anything remotely controversial in a country.
Like many other intelligence agencies, the ASIS has been involved in a number of incidents in the past. One of the most notable was in Papua New Guinea almost three decades ago. Allegedly, the ASIS has been trying to suppress independence movements in the country. The agency was also involved in the September 1973 Chilean coup d’état, despite being ordered to pull out months earlier.
8. Canadian Security Intelligence Service (CSIS)
Canada is one of the safest countries in the world. Most of the credit for keeping the country safe goes to the Canadian Security Intelligence Service, the main intelligence agency in Canada.
The CSIS handles everything related to Canada’s national security. Duties include collecting intelligence, running covert operations, and advising the government on potential security threats. The CSIS is also Canada’s representative in the Five Eyes, an intelligence alliance between the US, the UK, Canada, Australia, and New Zealand. The Five Eyes is considered one of the most extensive espionage alliances in history, though it has long been under public scrutiny for its methods.
Based in Ottawa, Ontario, the CSIS collects information from around the world and weeds out anything that might pose a threat to Canada and its citizens. However, the agency has a bit of a reputation for being too aggressive when it comes to running its activities in the name of national security.
7. Directorate-General for External Security (DGSE)
Operating under the French Ministry of Defence, the Directorate-General for External Security is the French equivalent of the Central Intelligence Agency. It mainly deals with foreign intelligence and issues, with the Directorate-General for Internal Security handling domestic affairs.
The DGSE conducts all manners of activities and operations relating to national security, which include running human intelligence operations and signals intelligence operations. However, almost all agency operations are kept under wraps and away from the public eye. Not much is known about the agency’s past and ongoing operations.
The DGSE played a significant role during the Rwandan Civil War in the 1990s. The agency had the task of spreading false information, which laid the groundwork for increased French involvement during the late stages of the war. The DGSE also had a role during the Kosovo War between the Federal Republic of Yugoslavia and the Kosovo Liberation Army.
6. Research and Analysis Wing (RAW)
The foreign intelligence agency of India probably has the least conspicuous name out of all intelligence agencies in the world. Outsiders might even think it’s just a non-government organization. But don’t be fooled by the agency name – the Research and Analysis Wing is one of the most capable in the world.
Formed in 1968 to specifically deal with foreign intelligence, the RAW plays an instrumental role in keeping India protected against terrorist attacks and monitoring developments in other countries which could directly affect India. However, the RAW is extremely secretive. Not much is known about its activities and past operations, which is a good thing.
The RAW regularly coordinates with other intelligence agencies and presumably has intelligence officers stationed all over the world. In particular, the agency regularly communicates with other well-known agencies such as the Central Intelligence Agency and Mossad in regard to monitoring Pakistan’s nuclear program.
5. Federal Intelligence Service (BND)
The Bundesnachrichtendienst or the Federal Intelligence Service is the foreign intelligence agency of Germany. It was formed in 1956 and directly reports to the German Chancellery. Being the only overseas intelligence agency in the country, it is responsible for gathering both military and civil intelligence.
The BND is tasked with detecting all possible threats to German interests and national security from overseas. The agency gathers information on terrorism, nuclear weapons and other weapons of mass destruction, organized crime, drug and illegal human trafficking, and illegal migration.
The BND is known for mainly utilizing wiretapping and electronic espionage to collect information, a tactic often scrutinized by the public. As with other intelligence agencies, most of the activities and operations of the BND are classified. But it’s probably safe to assume that the agency has eyes and ears on major communication lines, recording conversations with no regard for privacy.
4. Central Intelligence Agency (CIA)
The Central Intelligence Agency is the foreign intelligence agency of the US. It collects information from overseas, with minimal information collection within the country. It is the most popular and easily recognizable intelligence agency in the world, mainly due to its numerous appearances in Hollywood movies.
The CIA was formed in 1947, making it one of the oldest intelligence agencies on this list. The agency is tasked with monitoring overseas developments that might threaten the US, especially relating to terrorism and nuclear weapons and other weapons of mass destruction. The agency also handles counterintelligence and cyber warfare.
Apart from gathering information, the CIA also runs covert paramilitary operations. The track record of the CIA is a mixed bag, though, based on publicly known past operations. The agency has been involved in numerous scandals and controversies over the years, the chief reason why it is only ranked fourth on our list of the top 10 best intelligence agencies in the world.
3. Foreign Intelligence Service (SVR)
The Foreign Intelligence Service is the civilian foreign intelligence agency of the Russian Federation. It is the successor to the First Chief Directorate of the KGB and works closely with the Main Intelligence Directorate, the military foreign intelligence agency of Russia.
Unlike the primary security agency of Russia, the Federal Security Service, which mainly deals with internal affairs, the SVR is responsible for gathering intelligence outside the country. The SVR is tasked with running various forms of espionage, including military and economic espionage, and conducting electronic surveillance in foreign countries.
Headquartered in the Yasenevo District of Moscow, the SVR has also been involved in alleged assassinations abroad and internet disinformation. Since Russia is allied with China, it can be presumed that the SVR regularly cooperates with Chinese intelligence agencies.
2. Secret Intelligence Service (SIS)
The Secret Intelligence Service is the foreign intelligence agency of the UK. Commonly known as MI6, it is the second-most popular agency on this list, a distinction it owes to the James Bond movies. Like almost all the other agencies on this list, the MI6 primarily deals with external affairs, leaving internal affairs to the MI5.
The MI6 gathers and analyzes information from overseas. It focuses on information related to terrorism, nuclear weapons, drug trafficking, organized crime, and other activities that could threaten the UK’s interests and national security. It also coordinates with other foreign intelligence agencies such as the Central Intelligence Agency.
The MI6 was formed more than 100 years ago, making it one of the oldest intelligence agencies in the world. Its track record is far from immaculate, however. In recent years, it has been involved in controversies relating to how it handles its operations. Most infamously, there have been reports that the agency employs torture and extraordinary rendition.
1. Mossad
Mossad is the national intelligence agency of Israel, one of the top 10 countries with the most powerful nuclear weapons in the world. It is one of the three branches of the Israeli Intelligence Community – the other two being Shin Bet and Aman, which handles internal security and military intelligence, respectively.
Mossad mainly deals with foreign intelligence, collecting information on overseas developments that might threaten Israeli interests and security. The agency runs covert operations and has its own counter-terrorist unit, the Kidon. Not much is known about the unit other than it is supposedly composed of elite assassins.
Like other foreign intelligence agencies, Mossad cooperates with other similar entities from other countries. It has been reported that Mossad cooperates with Middle Eastern countries, with the common topic being Iran’s nuclear program. Mossad has also cooperated with the Central Intelligence Agency and the Research and Analysis Wing in the past.




Mkuu Bujibuji katika hao kumi ni RAW ya India tu ndio hakua na tabu na Urusi,pamoja na Urusi mwenyewe,lakini wote nane wameshadili na KGB /SVR katika maeneo tofautitofauti na hao wanane hadili sana wenyewe kwa wenyewe labda China tu ndio anadili na CIA.
Kama Pakistan haipo orodha ni batili

~.A Philanthropist|Economist|Business Consultant|Entrepreneur|Agricultural Applied &Natural Resources Economics Mentor.~
 
Mkuu majasusi wa kwetu ni wazuri sana,tena sana,ni kama ninavyoielezea Urusi dhidi ya mataifa yenye mashirika ya kijasusi yenye nguvu,ndio hivyo kwa majasusi wa Tanzania,unakumbuka wakati wa Ukombozi kusini mwa afrika? majasusi wetu waliiva sana kwa sababu ya kukabiliana na Makaburu,hawa jamaa makaburu ni noma kiujasusi na kijeshi,pia majasusi wetu walikabiliana na mabeberu wengine amabao walikua hawapendi sera za Nyerere,pia maadui majirani zetu akina Idi Amini.Mobutu seseko,Kamuzu banda,n.k,NA MAJIRANI WENGINE WALIOKUA na NIA MBAYA na sisi.Sasa hapa ndio ungeujua uwezo wa majasusi wetu.Kilichoharibu hapa kwa sasa ni kutumiwa na wanasiasa kwa maslahi ya kisiasa.

Acha stori za karne ya 20, hii ni karne ya 21 mzee.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Acha stori za karne ya 20, hii ni karne ya 21 mzee.


Sent from my iPhone using JamiiForums
Ha ha ha haa ,mie nimejaribu kuongea facts za enzi hizo na za sasa,ki ukweli usalama wa Taifa wa Tanzania tulitisha sana, na kwa kawaida maendeleo ni kwenda mbele nadhani sasa watakua wapo juu sana ila sera za ndani wanaburuzwa na wanasiasa nothing else
 
Mkuu nakubaliana na wewe kwa baadhi ya ponts zako humu,ila kufeli kwa USSR kama ulivyoelezea kwa hapa ni kutokakana na nguvu ya majasusi waliokua wanapambana na URUSI,na hapa ndio mzizi wa mada yangu,ukishindana na wengi utashindwa tu,lakini ukishinda ama ukishindwa wewe bado utaonekana ni nunda,Hitla alishindwa kwa sababu alipingana na wengi,lakini aliacha simulizi na anaonekana kuwa alikua ni nunda,ukishinda wewe sio wa kawaida,ndio maana mtu ama nchi moja ikiwashinda wengi huwa tunaiona au tunamuona kuwa sio mtu wa kawaida,mimi sizungumzii kama URUSI na KGB yake walishinda,nazungumzia uimara kutokana na kukabiliana na majasusi wenye nguvu,kutoka nchi zenye nguvu za ujasusi hapa duniani,nimetoa mifano nchi kama US,UK Mossad,n.k Kama isingekua hivyo leo Urusi hiihi ya Putin isingekua na jeuri yote hii.Hata suala LA SYRIA ni kwamba waoWEST bado ni wengi na wana uchumi mkubwa wanaweza kuja kubadilisha matokeo baadae,lakini kwa sasa Urusi kawamudu,hivyo tunasubiri.Sitaki sana kurudi kwenye sababu za kuanguka kwa USSR,wala vita ya Afghan,najua unaijua vizuri sana na mengi yameandikwa humu sitaki kufanya marudio,ila kwa sasa sitaki kuandika mengi nasherehekea ushindi wa simba dhidi ya Wacongo na Yanga kwa pamoja.

Hongera kwa kushabikia Simba. Mie naskia imeshinda japo sijui ilicheza na nani na magoli mangapi. Mie ni mpenzi wa Simba pia. Japo sipendi siasa za soka.

Point yangu ipo hapo kwenye "Kushindana na Wengi".
Hitler nimemsoma in details naweza kukiri Ujerumani ya Hitler ilikua very powerful kuliko Urusi ya wakati ule.

Kuhusu KGB, ni lazima tukiri kua hawakua peke yao, kama tunavyotafsiri. Falsafa ya warusi kijasusi, ndiyo iliyofeli kiuchumi na kiushawishi na ki propaganda.
Walifanikiwa kujenga silaha nyingi za nuclear waka ignore Uchumi wao.

Utaona kua nchi za ulaya mashariki ziliishia kua masikini. Wakati za ulaya magharibi zilitajirika. Utaona kua

China walipoamua kufuata falsafa yao peke yao dhidi ya ile ya Russia wameweza kuibuka washindi kiuchumi huku kaka zao warusi wakibaki nyuma yao.

Putin ya sasa inaitegemea China kwenye hii vita ya kiuchumi. Kama mbadala wa kuikabili USA na washirika wake.

USA ilikua inakuja kuleta madhara kwa Russia ya Putin mpaka pale Obama aliposhindwa kumuweka Hilary Clinton madarakani kuendeleza vita yake.

Trump amebadilisha msimamo wa USA kuhusu Russia. Trump alikua tayari Kuiua NATO jambo ambalo wamemzuia. Trump aliwapinga wazungu kua akitaka vikwazo dhidi ya Russia Vikomeshwe.

Putin anafahamika kufurahia ushindi wa Trump na kutaka awe Raisi tangu mwanzo, kwasababu mtazamo wa Trump ulikua unaondoa Hatari ile warusi walikua wanakabiliana nayo ya kuangushwa hapa duniani.
Kwa namna fulani zimeshatolewa tuhuma kua Urusi iliingilia uchaguzi wa USA. Taarifa hizi sio za kupuuzwa.

Russia walijaribu kumuua jasusi wao na bintiye wakiwa UK. Na hapa walizorotesha uhusiano wao na UK. Maana walibainika.

Swala la Syria, limeiweka Russia salama kutokana na ajenda ya Trump. Ya kujali masuala ya Amerika na kuachana na siasa za Nje ya USA.Lakini linaweza kua swala la muda mfupi mpaka Trump atakapoondoka madarakani. Kisha akaingia Mdemokratiki atakayeiungnisha Europe na USA tena.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama Pakistan haipo orodha ni batili

~.A Philanthropist|Economist|Business Consultant|Entrepreneur|Agricultural Applied &Natural Resources Economics Mentor.~
Ha ha haa Mkuu unajuaje labda orodha huwa inabadilika mwaka hadi mwaki kutokana na mission ambazo mashirika haya walizotekeleza na kufaulu?,pengine labda kwa miaka hii hawajafanya operation yeyote ya maana?
 
Hongera kwa kushabikia Simba. Mie naskia imeshinda japo sijui ilicheza na nani na magoli mangapi. Mie ni mpenzi wa Simba pia. Japo sipendi siasa za soka.

Point yangu ipo hapo kwenye "Kushindana na Wengi".
Hitler nimemsoma in details naweza kukiri Ujerumani ya Hitler ilikua very powerful kuliko Urusi ya wakati ule.

Kuhusu KGB, ni lazima tukiri kua hawakua peke yao, kama tunavyotafsiri. Falsafa ya warusi kijasusi, ndiyo iliyofeli kiuchumi na kiushawishi na ki propaganda.
Walifanikiwa kujenga silaha nyingi za nuclear waka ignore Uchumi wao.

Utaona kua nchi za ulaya mashariki ziliishia kua masikini. Wakati za ulaya magharibi zilitajirika. Utaona kua

China walipoamua kufuata falsafa yao peke yao dhidi ya ile ya Russia wameweza kuibuka washindi kiuchumi huku kaka zao warusi wakibaki nyuma yao.

Putin ya sasa inaitegemea China kwenye hii vita ya kiuchumi. Kama mbadala wa kuikabili USA na washirika wake.

USA ilikua inakuja kuleta madhara kwa Russia ya Putin mpaka pale Obama aliposhindwa kumuweka Hilary Clinton madarakani kuendeleza vita yake.

Trump amebadilisha msimamo wa USA kuhusu Russia. Trump alikua tayari Kuiua NATO jambo ambalo wamemzuia. Trump aliwapinga wazungu kua akitaka vikwazo dhidi ya Russia Vikomeshwe.

Putin anafahamika kufurahia ushindi wa Trump na kutaka awe Raisi tangu mwanzo, kwasababu mtazamo wa Trump ulikua unaondoa Hatari ile warusi walikua wanakabiliana nayo ya kuangushwa hapa duniani.
Kwa namna fulani zimeshatolewa tuhuma kua Urusi iliingilia uchaguzi wa USA. Taarifa hizi sio za kupuuzwa.

Russia walijaribu kumuua jasusi wao na bintiye wakiwa UK. Na hapa walizorotesha uhusiano wao na UK. Maana walibainika.

Swala la Syria, limeiweka Russia salama kutokana na ajenda ya Trump. Ya kujali masuala ya Amerika na kuachana na siasa za Nje ya USA.Lakini linaweza kua swala la muda mfupi mpaka Trump atakapoondoka madarakani. Kisha akaingia Mdemokratiki atakayeiungnisha Europe na USA tena.


Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa Mkuu umeanalyse vizuri sana,sintakujibu maan hatushindani,na isitoshe umeandika hoja nzuri, bali nitachangia hii komenti yako ,na nitachangia nikiwa nimetulia ,maana umeweka nondo zilizoenda shule,hivyo natakiwa niwe nimetulia,wacha kwanza nisherehekee ushindi wa simba,najua wewe ni wale washabiki wa simba waliokua wamekata tamaa kushabikia timu yao kwa sababu ya kufanya vibaya kwa miaka mingi ktk inernational tournament,wacha sisi wenzio vichwa ngumu tufurahai hata kama ni kwa muda mfupi tu.
 
Nasikia warusi hawapendi kuchanganya damu na mataifa mengine hasa sisi waafrica! Je? Kuna ukweli wowote kuhusu hili.
Nalog off
 
Uingereza ameshambuliana sana na Mrusi hata kabla ya Marekani hajawa Super Power mwaka 1945. Wameshambuliana sana hadi Krushchev akatishia kuwatwanga na Nuclear.
Waisrael waligombana sana na Urusi kwasababu Urusi alitegemea Israel itakuwa ni nchi ya kikomunisti lakini ikawa ya kibepari.

Hii ni moja ya chanzo cha KGB kuunda makundi kama Popular Front for the Liberation of Palestine (PFLP) ambayo yalikuwa yanaongozwa na KGB agents kama Carlos the Jackal. Upande wa pili unasahau kwamba zile silaha zote ambazo alikuwa anatumia Gamal Abdi Nasser alikuwa anapewa na Warusi.

The Jackson-Vanik Amendment zilizopitishwa Marekan mwaka 1977 zili
Nchi ambayo kipindi cha vita baridi haikujiingiza kwenye mtafaruku wa moja kwa moja na Urusi ilikuwa ni Ufaransa kwasababu Raisi Charles De Gaulle mwaka 1966 aliamia kujitoa NATO.

Kiufupi kipindi cha vita baridi hadi Uchina aliwashambulia Warusi akiungana na Marekani.
Thanks Bro!
 
Hakuna shirika la kijasusi lenye nguvu kama la Pakistan

Sent using Jamii Forums mobile app
Walizidiwa na CIA kwenye ishu ya Osama maana CIA walifanya mambo mengi sana pale Abottabadi( Pakstani) katika kukusanya intelligence kujilisha Kama Osama yupo pale,walijua Kila kitu Kama idadi ya watu waliopo ndani ya ile nyumba,mifugo Kama kondoo iliyokuwemo,vendor aliyekuwa anawauzia chakula,wageni waliokuwa wanaingia pale. Na nifedheha Sana kwa intelligence community yeyote duniani kuruhusu operation Kama ile ya Osama kufanyika katika ardhi yako. Na Kama ile helicopter mojawapo KUPATA hitilafu na kuidondoka na baadae makomando wa Marekani kuilipua ili kuzuia maadui kuiba teknolojia Mmarekani ALIPANGA kulikana kaabsa Lile tukio
 
Shirika la Kijasusi linaimarika kama halitaambana na mambo ya kisiasa siasa ya nchi husika - hiki kinatakiwa kiwe chombo huru wa mustakabali na uhai wa taifa husika.

Sasa kwa nchi za kiafriika mashirika haya yanakuwa matawi ya vyama vinavyotawala - hapa ndipo tatizo lilipo..
 
Ni kweli kabisa ila kwenye nyanja ya Uchumi bado sana,maana wanafanyiwa sana figisu na mee mzima US ili wasiinuke kiuchumi,maana wakiwa na uchumi imara ana mkubwa sana basi ujue nguvu na utawala utahamia EAST.
Uongozi mbovu wa Russia ndio unafanya uchumi wao kudumaa.
 
Wakati wa vita baridi cold war pamoja na mashindano ya kutngeneza silaha kali duniani weapons race, mashirika ya ujasusi yalikua yakichuana vikali sana,hasa pande mbili kati ya USSR na USA.USSR ilikua na washirika wake wa Warsaw Pact,na USA ikiwa na washirika wake wa NATO.

Kwa hali hiyo kila upande ukifanya jambo fulani upande mwingine unapinga kwa kila namna.Hali hii ilipelekea ujasusi mkubwa kutamalaki baina ya pande hizi ,kuchunguzana,kuibiana siri,kuhujumiana.

Hali hiyo ilipelkea URUSI kupambana na majasusi wa Marekani na washirika wake,baadhi yao ni
majasusi wa USA vs KGB,GRU,SVR etc
majasusi wa Uingereza vs KGB,GRU,SVR etc

Majasusi wa ujerumani magharibi vs KGB,GRU,SVR etc

Majasusi wa Israel vs KGB,GRU,SVR etc

Majasusi wa Pakistan vs KGB,GRU,SVR hapa ni wakati wa vita ya USSR nchini Afghanistan etc

Majasusi wa NATO vs KGB,GRU,SVR etc

Majasusi wa China vs KGB,GRU,SVR hapa ni wakati wa vita ya USSR nchini Afghanistani

n.k
Wakati wa vita ya USSR dhidi ya Mujahidin nchini Afghanistan USSR ilikua inapigana na mujahidini waliokua wakipewaa sapoti ya silaha, ujasusi na fedha na mataifa ya USA,UK,NATO,China,Pakistan,Saudi Arabia etc

Hawa wote walikabilana ana kwa ana vikali sana na KGB,SVR ,GRU etc.
Nahitimisha kusema kuwa inawezekana kuwa Urusi ina majasusi imara na jeshi imara sana kuliko nchi yeyote ile.

Marekani ilikua ikitoa silaha kali sana kuwapa mujahidini kuangamiza magege na vifaru vya USSR/URUSI,sio tu Marekani bali pia nchi nyingine zilitoa fedha silaha na ujasusi mfano ni china,pakistani,saudia,na baadhi ya memba wa NATO.

Hii inaonesha kuwa huenda Urusi ina jeshi kali na imara sana na ujasusi imara na makini sana.

UWEZO MWINGINE

Baada ya kuvunjika muungano wa kisovieti nchi nyingi zilizokua sehemu ya ya USSR zilizojitenga ziliondoka nasiri nyingi sana za muundo wa kijasusi na kijeshi wa USSR nyingi ziliuza siri hizo kwa US na wenzie,lakini Urusi ya sasa ikaja na miffumo mipya haraka ambayo wa west bado wanashindwa kupenya kirahisi,kijeshi na kijasusi,mfano Ukraine na Georgia n.k hawa watakua wametoa siri nyingi sana lakini haioneshi kuiathiri pakubwa RF-Russian Federation
Mkuu imekuaje jana mmevamiwa
 
Back
Top Bottom