Peter meena
New Member
- Nov 12, 2023
- 4
- 7
Mambo mengine bana ya chekesha sana etikulikua na bodi ya nyama na bodi ya maziwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nchi inaenda kulia wewe unaenda kushoto ,SUMATRA imekufa 2017 ikatengeneza taasisi mbili tena independent ambazo ni LATRA na TASAC..Sumatra na latra ziwe taasisi moja
Sasa kaangalie GPSA na NEST.Mambo mengine bana ya chekesha sana etikulikua na bodi ya nyama na bodi ya maziwa
Kwa kulalama tu hamjamboMbona bado kuna taasisi za Umma nyingi tu ambazo zimeachwa bila ya kuunganishwa pamoja na kuunda taasisi moja??
Zipo taasisi au mashirika mengi sana ya Serikali ambayo yanapaswa kuunganishwa pamoja kwa sababu yanafanya kazi zinazofanana au kuingiliana ktk majukumu.
Hawa watu waliofanya kazi hii ya kuunganisha hizi taasisi hawajafanya Uchunguzi na Utafiti wa kina kuhusu suala hili.
Kwa maoni yangu ni kwamba, walipaswa kuualika umma wa Watanzania ili watoe maoni yao (Public Opinion) katika mchakato huu wa kuunganisha mashirika na taasisi za umma kabla ya kufikia hitimisho hili walilofanya. Sijui ni kwa nini Serikali huwa haitaki kuwashirikisha wananchi kwenye masuala nyeti kama haya ya ujenzi wa Taifa lao?? Sijui Serikali inaogopa kitu gani kuwashirikisha wananchi kwenye masuala kama haya??
Endapo kama Wananchi wangeshirikishwa kwenye suala hili, naamini kwa dhati kabisa kwamba wangeweza kuja na maamuzi au hitimisho ambalo ni bora zaidi kabisa kwa mustakabali mwema wa nchi yetu.
Hivi tunakwama wapi Watanzania ?????????????
Ninazifahamu taasisi nyingi tu ambazo zinafaa kuunganishwa, sikuzitaja hapa kwa makusudi kabisa wala siyo kwa bahati mbaya, ukizingatia kwamba uamuzi na hitimisho kuhusu suala hili tayari umeshafanywa na Serikali. Aidha, sijajua sababu hasa za Serikali za kutokutaka kupata Public Opinion juu ya jambo hili.Kwa kulalama tu hamjambo
Hujataja hata taasisi moja
Ili wakarogane vizuri na kupigana majungu.Maskini kuna wadau hapo watatupiwa Halmashauri.
Hivi ni lini serikali itaanzisha bodi ya pombe?
Suluhisho pekee kwa yote haya uliyotaja ni upatikanaji wa Katiba Mpya itakayotokana na Fikra, Maoni na Mawazo ya wananchi wote ktk nchi hii.Hivi ni lini serikali itaanzisha bodi ya pombe?
Halafu pia serikali ifute cheo cha naibu waziri mkuu haraka!
Mawaziri katika ofisi za waziri mkuu na makamu wa rais wanafanya nini huko ofisini?
Makamu wawili wa rais na waziri mkuu kiongozi Zanzibar yenye idadi ya watu sawa na wilaya ya Sengerema ni ubadhirifu vyeo hivyo vifutwe mara moja!
Sio kweli mkuuWakimaliza hilo waanze na kufuta/kuvunja na kuunganisha wizara. Hii nchi yetu haihitaji kuwa na mawaziri zaidi ya 10.
Kuna wizara ya maji...
Kuna wizara ya uvuvi...
Kuna wizara ya kilimo
Kuna ya wizara ya maliasili....
Kuna wizara ya mifugo (sijui na uvuvi?)
Kuna wizara ya mazingira...
Kuna wizara ya ardhi...
Ukichunguza kwa makini ni vitu vinavyoshahabiana, kuhusiana na kuingiliana kwa 100%. Kwanini vyote visiwe ni wizara moja tu?
Wangeifuta BASATA ingeleta mapinduzi makubwa kwenye sekta
Kwani SUMATRA si ilishafutwa hujui?Sumatra na latra ziwe taasisi moja
Hii ni awamu ya kwanza !!! Mchakato bado unaendelea !!Ninazifahamu taasisi nyingi tu ambazo zinafaa kuunganishwa, sikuzitaja hapa kwa makusudi kabisa wala siyo kwa bahati mbaya, ukizingatia kwamba uamuzi na hitimisho kuhusu suala hili tayari umeshafanywa na Serikali. Aidha, sijajua sababu hasa za Serikali za kutokutaka kupata Public Opinion juu ya jambo hili.