Mashirika ya umma kuunganishwa, manne kufutwa

Kwa kulalama tu hamjambo

Hujataja hata taasisi moja
 
Kwa kulalama tu hamjambo

Hujataja hata taasisi moja
Ninazifahamu taasisi nyingi tu ambazo zinafaa kuunganishwa, sikuzitaja hapa kwa makusudi kabisa wala siyo kwa bahati mbaya, ukizingatia kwamba uamuzi na hitimisho kuhusu suala hili tayari umeshafanywa na Serikali. Aidha, sijajua sababu hasa za Serikali za kutokutaka kupata Public Opinion juu ya jambo hili.
 
Suluhisho pekee kwa yote haya uliyotaja ni upatikanaji wa Katiba Mpya itakayotokana na Fikra, Maoni na Mawazo ya wananchi wote ktk nchi hii.
 
ccm mambo ya uchaguzi yakikaribia huwa wanawehuka...kila mahala, akili huwa zinajaribu kurudi kidogo ila mwisho wa uchaguzi upumbavu huwarudia, yaani sawa na mlokole anapoamua kuokoka shetani huwa haendi mbali anakaa pembeni anamsubiria mizuka imuishe airudie dhambi shetani ajinufaishe tena...ajitaifishie mali. Naona copy yao wanayo ccm....😡
 
Sio kweli mkuu
 
Hii ni awamu ya kwanza !!! Mchakato bado unaendelea !!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…