Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Hivi hili suala liliishia wapi?
Huyo bibie alienda mahakamani kumfungulia mashitaka huyo Kapteni au Kapteni aliomba radhi?
Kilichonifanya nikumbuke hili sakata ni hilo suala la Rais Magufuli [nendenni jukwaa la siasa na mtajua nazungumzia nini].
Huyo bibie naye hakutajwa jina bali alijihisi tu kuwa anayezungumziwa ni yeye.
Na kwa sababu hiyo baadhi yetu tuliona kwamba hata akienda mahakamani kufungua kesi, hiyo kesi, kama sheria ingefuatwa, basi hakuwa na nafasi ya kushinda kwa sababu madai yake yalikuwa frivolous.
Sasa ndo nawaza hapa hivi sokomoko zima liliishia wapi? Au ndo mapepo ya upepo tu...kwamba yalishapita na watu,ikiwemo wahusika, walishasahau....
Huyo bibie alienda mahakamani kumfungulia mashitaka huyo Kapteni au Kapteni aliomba radhi?
Kilichonifanya nikumbuke hili sakata ni hilo suala la Rais Magufuli [nendenni jukwaa la siasa na mtajua nazungumzia nini].
Huyo bibie naye hakutajwa jina bali alijihisi tu kuwa anayezungumziwa ni yeye.
Na kwa sababu hiyo baadhi yetu tuliona kwamba hata akienda mahakamani kufungua kesi, hiyo kesi, kama sheria ingefuatwa, basi hakuwa na nafasi ya kushinda kwa sababu madai yake yalikuwa frivolous.
Sasa ndo nawaza hapa hivi sokomoko zima liliishia wapi? Au ndo mapepo ya upepo tu...kwamba yalishapita na watu,ikiwemo wahusika, walishasahau....