Unamaana ni jambo zuri hilo? maana kudai uhuru juu ya wakoloni lilikuwa nijambo jema. so na hawa pia ni jambo jema?? liz liz liz liz ebu muogope mungu japo kidogo duuu. ivi umeolewa au una mtoto? twapasa kumuomba mungu atuepushie mbali majinamizi kama haya na vizazi vye2.Ahhh well kuwachukia hakuongezi wala kupunguza chochote.Wapo na wataendelea kuwepo kwahiyo waacheni tu wajitetee....hata waaAfrika walivyokaa vikundi kupanga jinsi ya kujikomboa na kutafuta haki zao dhidi ya mkoloni wazungu waliwabeza na hawakufurahia.
wapi? Tanga? ARS?MWANZA au wapiipo gold star kama unaenda mnazi mmoja.
Duh!kumbe mashoga wana haki zao za kishoga!
Sijasema ni kitu kizuri bwana...wala sitamani ntu wa karibu yangu awe hivyo achilia mbali mtoto wa kumzaa.Ila nnachojaribu kusema ni kwamba kama wanaoziona hizo haki acha wazitafute....pamoja na kwamba wengi hawawasupport bado wapo na hawataisha au acha tabia zao.Unamaana ni jambo zuri hilo? maana kudai uhuru juu ya wakoloni lilikuwa nijambo jema. so na hawa pia ni jambo jema?? liz liz liz liz ebu muogope mungu japo kidogo duuu. ivi umeolewa au una mtoto? twapasa kumuomba mungu atuepushie mbali majinamizi kama haya na vizazi vye2.
Tansoma hotel ipo wapi?
Samahani sana Mkuu; naomba ukubali kunisamehe SMART1; nilikuwa najaribu kukutibua nijue umefahamu vipi hizi habari za hawa punguwani Pole kama nimekukwaza.
Ohk hapo nimekupata tupo pamojaSijasema ni kitu kizuri bwana...wala sitamani ntu wa karibu yangu awe hivyo achilia mbali mtoto wa kumzaa.Ila nnachojaribu kusema ni kwamba kama wanaoziona hizo haki acha wazitafute....pamoja na kwamba wengi hawawasupport bado wapo na hawataisha au acha tabia zao.
Usiwe mkali ndugu mrekebishe mwenze2 ndio wa2 2navyo ishi sio wote tunafikiri mbali sanaWe huna akili hata kidogo tena ungeongea haya maneno mbele yangu ungekula makofi,na mitama kisha ningekusindikiza na makohozi...naongea na wewe lizzy
Ipo Dar es Salaam Nyerere Road inapokutana na Nkrumah Avenue... ila wamelitoa jina la Tansoma... hivyo haina jina.wapi? Tanga? ARS?MWANZA au wapi
toa upuuzi wako hapa.....usagaji? mashoga? r u sane?Nadhani unyanyaswaji na kubaguliwa ni ukiukwaji wa haki za msingi za binadamu bila kujali mwelekeo wa kijinsia, rangi, chanzo cha utaifa, dini, na kadhalika.