Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Samahani sana Mkuu; naomba ukubali kunisamehe SMART1; nilikuwa najaribu kukutibua nijue umefahamu vipi hizi habari za hawa punguwani Pole kama nimekukwaza.
Mwenye kudhulumu na azidi kudhulumu; na mwenye uchafu na azidi kuwa mchafu; na mwenye hakina azidi kufanya haki; na mtakatifu na azidi kutakaswa. (Soma Ufunuo wa Yohana22:11)Kwa habari nilizozipata just now,mashoga na wasagaji wa Tanzania wako kwenye kikao cha kujadili haki zao ndani ya ukumbi wa mikutano uliopo Tansoma hotel.THIS IS TOO MUCH