Mashoga na wasagaji ndani ya tansoma hotel

Mashoga na wasagaji ndani ya tansoma hotel

Ushoga na usagaji ni uhalifu dhidi ya ubinadamu...ocampo
 
Kwenye katiba yetu ni vema tufanye mapema kuingiza kipengele cha kutambua ndoa iwe baina ya mtu mume na mtu mke,ndoa za jinsia moja zitamkwe kuwa ni batili mapema
hawa jamaa wano watu wanaoweza kulobby kuingiza ushenzi wao kwenye katiba huku sisi wapingaji na watetea utu wa binadam tukabaki kuongeza thread humu jf wao wakalobby kwenye katiba na kuhalaliisha ushetani wao.tuwe makini
 

Samahani sana Mkuu; naomba ukubali kunisamehe SMART1; nilikuwa najaribu kukutibua nijue umefahamu vipi hizi habari za hawa punguwani Pole kama nimekukwaza.

Safi sana kwa ukomavu......sadly hakuna THANKS siku hizi
 
Kwa habari nilizozipata just now,mashoga na wasagaji wa Tanzania wako kwenye kikao cha kujadili haki zao ndani ya ukumbi wa mikutano uliopo Tansoma hotel.THIS IS TOO MUCH
Mwenye kudhulumu na azidi kudhulumu; na mwenye uchafu na azidi kuwa mchafu; na mwenye hakina azidi kufanya haki; na mtakatifu na azidi kutakaswa. (Soma Ufunuo wa Yohana22:11)
 
Back
Top Bottom