mashoga wa mombasa wadai haki zao

mashoga wa mombasa wadai haki zao

engmtolera

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2010
Posts
5,149
Reaction score
1,441
Haya wana JF Mashoga wa mombasa wameamuwa kuwa wazi kwa kila anaewahitaji,hakuna kificho tena mambo hadharani,
je Dini zetu zinaruhusu haya?



kazi ipooooo ktk hii Dunia
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: KVM
mashoga wa mombasa ni hatari ktk ndoa za watu, wanasoko kubwa sana huko.
 
Dini haijalishi sana Ila
Mungu haruhusu
mambo mengi sana
lakini binadamu kama
binadamu hatuachi dhambi..
 
Dini haijalishi sana Ila
Mungu haruhusu
mambo mengi sana
lakini binadamu kama
binadamu hatuachi dhambi..
ikiwa hujapata uzao/mtoto kwa muda mrefu na kuoteshwa in ndoto utajifungua kidume ambacho kitajakua shoga will you thank GOD kwa kukupa mtoto or you better die bila mtoto?
 
Nimesikia kutapika hata sijui kwanini nimefungua hapa kha!!!

Kila mutu inahaki ya kuishi ila kwa hili hapana ningekuwa rais ningemnyonga mmoja wao hadharani kukomesha kabisa hii tabia
 
ikiwa hujapata uzao/mtoto kwa muda mrefu na kuoteshwa in ndoto utajifungua kidume ambacho kitajakua shoga will you thank GOD kwa kukupa mtoto or you better die bila mtoto?

mtoto ni baraka
Nitakachopewa na Mungu
Nitakipokea na kukifurahia..
YES I WILL THANK GOD
FOR GIVING ME A KID :A S-baby:
 
Dini haijalishi sana Ila
Mungu haruhusu
mambo mengi sana
lakini binadamu kama
binadamu hatuachi dhambi..
Kweli dini haijalishi sana maana zipo zinazotaka kuruhusu watu wa hivyo wawe wachungaji..
Kiukweli ni kuwa maadili yameporoka sana...
 
Dah haya mambo kumbe yapo kweli? kazi kwelikweli!

Yapo sana, hao wanajionyesha na wanajitangaza ila wa huku kwetu wanafanya kwa kificho na huenda ni wengi kuliko Mombasa
 
mtoto ni baraka
Nitakachopewa na Mungu
Nitakipokea na kukifurahia..
YES I WILL THANK GOD
FOR GIVING ME A KID :A S-baby:
hata Mike Tyson akichomwa sindano ya kumwongezea oestrogen ataanza kuwa na move za kishoga.Wote wanaume/wanawake tuna homone za oestrogen/testesteron ila kwa viwango tofauti.
Balaa ni pale mwanaume anapokuwa na oestrogen nyingi (a hormone stimulating female characterization and growth of secondary female sifa)
 
D.A utapike kwa lipi? Ni maisha yao then at end of the day kumbuka kuna hukumu ya mwenyezi, japo si jambo jema bt ndivyo ilivyo, hawa wanalindwa na haki za kidunia bt kiimani hatupo pamoja nao!
 
D.A utapike kwa lipi? Ni maisha yao then at end of the day kumbuka kuna hukumu ya mwenyezi, japo si jambo jema bt ndivyo ilivyo, hawa wanalindwa na haki za kidunia bt kiimani hatupo pamoja nao!
Hizi haki za kidunia ndio zinaharibu kila kitu na kufanya dunia iwe na uovu wa kila aina...
 
hata Mike Tyson akichomwa sindano ya kumwongezea oestrogen ataanza kuwa na move za kishoga.Wote wanaume/wanawake tuna homone za oestrogen/testesteron ila kwa viwango tofauti.
Balaa ni pale mwanaume anapokuwa na oestrogen nyingi (a hormone stimulating female characterization and growth of secondary female sifa)

You Know your very smart
when you want to be mmmh

yaani nimefurahi sana kuona
kwamba unaelewa kwamba ma gay
wote si wakujitakia bali kuna wengine
wengi wamezalia hivyo .. sante dear
 
You Know your very smart
when you want to be mmmh

yaani nimefurahi sana kuona
kwamba unaelewa kwamba ma gay
wote si wakujitakia bali kuna wengine
wengi wamezalia hivyo .. sante dear
naelewega sana sema kuna wakati nageuka zuzu naswitch off uelewa flaniflani
 
Back
Top Bottom