mankachara
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 6,152
- 3,473
Umesoma human right au unasema tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Human right nyenyenyeUmesoma human right au unasema tu
Think tank musiba kaziniLisu anakunywa chai na mkuu wa mashoga duniani na bado Chadema wanataka awe rais wa Tanzania
Sasa mkuu hii adhabu yako na aliyopendekeza mtoa Uzi zina tofauti gani?Adhabu kali sana hiyo sikubaliani nayo bora wapewe adhabu kupigwa na shoti ya umeme waya zina wekwa kwenye kinyeo mpaka wafe..
Safi zaidSafi
Ova
Mkuu sikutarajia ungewatetea kwa nguvu hivi haya mambo sio ya asili ya muafrika na kumbuka asili pekee ndo haifi lakini kisichokua asili chaweza kufa na kupotea kabisa ushoga sio asili yetu tunaweza kuungamiza kabisaWewe huna akili na ni mpumbavu.
Ukishawamaliza hao mashoga utahamia kwa nani? Andunje? Wamasai? Bijeba au?
Shwaini kabisa
Sio asili yenu wewe na nani?ushoga sio asili yetu
Sitetei mashoga.Mkuu sikutarajia ungewatetea kwa nguvu hivi haya mambo sio ya asili ya muafrika na kumbuka asili pekee ndo haifi lakini kisichokua asili chaweza kufa na kupotea kabisa ushoga sio asili yetu tunaweza kuungamiza kabisa
Umeongea kwa uchungu sanaWewe huna akili na ni mpumbavu.
Ukishawamaliza hao mashoga utahamia kwa nani? Andunje? Wamasai? Bijeba au?
Shwaini kabisa
Kwa sababu nakutetea wewe na wenzako yaani nyie mashogaUmeongea kwa uchungu sana
Lini ilifanikiwa? Nakuombea wewe ufanikishekwanini isifanikiwe?
Naunga mkono hoja, walevi na mabaharia wote wauaweKabla kutoa hukumu ya kuwaua mashoga, ni vema mleta mada kwanza ungejifunza au kutafiti kidogo masuala kadhaa kuhusu ushoga. Ni muhimu ungejiuliza ushoga ni nini na unasababishwa na nini? Ungejiuliza ushoga ulianza lini na kwanini umeendelea kuwepo miaka yote hii? Na je utaendelea kuwepo au hautakuwepo? Je watu hulazimishwa au hutenda kwa hiyari yao wenyewe? Nini hasa kinawavutia kuingia kwenye ushoga?
Ushoga ni tatizo la kimaadili kama ilivyo kwenye matatizo mengine ya kimaadili kwenye jamii zetu mfano, ulevi, uzinzi, ukahaba,wizi, utapeli, uteja wa dawa za kulevya, ufisadi, nk, na chanzo chake kinatoka kwenye jamii yetu tunayoishi. Hivyo kama unapendekeza adhabu kwa mashoga iwe kuwaua, basi hata hao wengine wenye makosa ya kimaadili nao wauwawe pia, sijui nani atakayebaki? Kama una mwanafamilia anayekabiliwa na tatizo la kimaadili, mfano mlevi, mzinzi, teja, tapeli, fisadi, utakubali auwawe? Huoni kwamba pamoja na changamoto hizo za kimaadili, wao ni binadamu, wana haki zao za msingi badala ya kupendekeza wauwawe.
Kama kweli unakerwa na ushoga, na kwa kuwa ni tatizo ambalo mzizi wake ni jamii unayoishi, nakushauri uanzie nyumbani kwako, mtaani kwako na kwenye jamii yako. Pia washirikishe viongozi wa kidini kwenye jamii yako kuhusu athari sio tu za ushoga, bali hata walevi, wazinzi, matapeli, wezi, n,k.
Kabla hujapendekeza adhabu kali kwa mashoga tafakari hoja hizo kwanza.