Mashtaka ya Ugaidi: Shujaa wa 'Hotel Rwanda', Paul Rusesabagina akutwa na hatia. Ahukumiwa kifungo cha miaka 25

ila jamaa nae kiazi sana kwanini ajiingize kwenye siasa da ila watu wa usalama nyoka sana nasikia rafiki yake wa kalibu ndio alimuuza walijua wanaenda burundi akashangaa ndege imetua rwanda
Aliuzwa na mchungaji wa Burundi alikokua anaenda kupata connection za ugaidi wake.Alidakwa Kama mtoto mdogo vile.
 
Safi Sana,Ila wamemuonea huruma Sana alitakiwa apigwe kifungo Cha Maisha kabisa.
 
Shukrani mkuu kwa ufafanuzi huu murua kabisa,, kila la kheri
 
Aliuzwa na mchungaji wa Burundi alikokua anaenda kupata connection za ugaidi wake.Alidakwa Kama mtoto mdogo vile.
Naomba usambaze hii video wanao ongelea wasiyo yajua ili wajue ukweli kuhusu huyu Mzee! Maana watu hapa wamedaka taarifa kutoka bbc nakuanza kungea wakati hawajui lolote.



 

Attachments

  • twitter_20210920_190338.mp4
    1.2 MB
Achana na mambo ya fiction hapa, waliokuwepo kwenye hotel ndio wanajua ukweli kua walikaa kwenye hiyo hotel kwa pesa zao sio kwa huruma ya Paul,ari wa charge waliokosa waliyolewa out. Mambo ya hiyo Fiction movie tuachane nayo ilikua ujanja wake kujitangaza na kutafta pesa,turudi kwenye issue ya Ugaidi hapa.

Mnarukia taarifa tu sijui siasa sijui nini! Hamkua na taarifa youote kuhusu huyu jamaa tangu akatwe leo ndio mme copy kwenye media za mabeberu kuhusu hukumu yake. Rusesabagina issue yake yote aliyo kuwa akiyafanya FBI wanayajua,transactions zote alizo kuwa akituma kwa watu tofauti,nchi tofauti wanajua yani evidence zote zipo. Upererezi wa Ubelgiji wanajua maana walishilikiana na RIB ya Rwanda ku mu search huko nyumbani kwake Ubeligiji,na nyaraka zote za ushahidi zipo FBI wanazo,Ubeligiji wanazo,RIB ya Rwanda wanazo. So lilikua swala la mda tu ku mnasa.

Basic evidence ziko hapa👇

 

Attachments

  • twitter_20210920_190338.mp4
    1.2 MB
Lets wait kwa kutakua na ushahidi kama huu kwa gaidi Mbowe!
Usio yajua kaakimya.



 

Attachments

  • twitter_20210920_190338.mp4
    1.2 MB
Kwahiyo kuigiza Fiction movie its means hawezi kuwa Gaidi? Hiyo hela na Unarufu ndio chanzo cha kujihusisha na Ugaid akiunda jeshi na kuli support.

Check hapo chini au ingia youtube ukacheck full videos zake.



 

Attachments

  • twitter_20210920_190338.mp4
    1.2 MB
Wamezingua Sana kumfunga miaka michache.
 
Uonevu Tu kama wenyewe wataishi milele.............mungu yupo na anaona kirakitu wewe ngoja atingishe mkono wake ndio utajua ujui......vilio vitatawala uko rwanda
Yani wewe sina cha kukujibu!



 

Attachments

  • twitter_20210920_190338.mp4
    1.2 MB
ila jamaa nae kiazi sana kwanini ajiingize kwenye siasa da ila watu wa usalama nyoka sana nasikia rafiki yake wa kalibu ndio alimuuza walijua wanaenda burundi akashangaa ndege imetua rwanda
Alikua tricked na rafiki yake wa karibu kabisa yani, alikua akiishi Dubai. Walijua watashukia Burundi [emoji1060], kuja kushtuka wapo Kigali [emoji1206]
 
Ahsante kwa ku copy na ku paste! Bila kufanys utafiti kujua ukweli kuhusu huyu jamaa.



 

Attachments

  • twitter_20210920_190338.mp4
    1.2 MB

Marekani wenye FBI wameshutumu hukumu na pia kesi kuwa viko politically motivated.

Ubelgiji unakodai ushahidi ulipatikana wameshutumu hukumu na pia kesi kuwa viko politically motivated.

Amnesty International wameshutumu hukumu na pia kesi kuwa viko politically motivated.



Nani asiyejua kwenye udikteta mwendo ni maelekezo kutoka juu?
 
ila jamaa nae kiazi sana kwanini ajiingize kwenye siasa da ila watu wa usalama nyoka sana nasikia rafiki yake wa kalibu ndio alimuuza walijua wanaenda burundi akashangaa ndege imetua rwanda
Sio kujingiza kwenye siasa! Kufanya siasa siyo shida,sema kuanzisha jeshi na kuvamia nchi na kuua raia. Mtu alie pewa presidencial medal ya US hawezi singiziwa hivi tu. Hata FBI wao wanajua aliokua akiyafanya ,even idala ya upererezi y ubeligiji wanajua.



 

Attachments

  • twitter_20210920_190338.mp4
    1.2 MB

Belgium wamemaindi sababu huyo jamaa ana uraia wa ubelgigi na mwanasheria wa kizungu alikataliwa kwny mahakama ya Rwanda sababu hakuna bilateral agreement Kati ya nchi hizo kuruhusu mawakili wa nchi hizo ku practice,na hata rais wa wanasheria huko Belgium aliulizwa wakili kutoka Rwanda anaweza akasimama kutetea mteja wake huko Belgium akasema haiwezekani Ila wao wanalazimisha wakili wa ubelgigi afanye kazi Kigali, impossible.

Unawaongelea Hawa amnesty/hrw ambao Wana scandal za kuomba rushwa kwa watawala wa Saudi Arabia ili wasiseme human rights abuse zinazofanyika huko?Hawa Ni takataka tu,full kinyesi.

Hivi Osama mbona wamarekani hawakumpa Haki ya kusikilizwa kwny mahakama ili apate Haki yake na wakaamua kumuua?
 
Halafu hio medal Ni ya kijinga tu hata Billy Cosby nae alipewa na mwishowe akaishia kufungiwa Kama kawaida.
 
Alikua tricked na rafiki yake wa karibu kabisa yani, alikua akiishi Dubai. Walijua watashukia Burundi [emoji1060], kuja kushtuka wapo Kigali [emoji1206]
Yaani anajiingiza kwny Vita huku hajui mbinu za kiinteligensia,hivi kwa umaskini ilionao Burundi Ni kanisa gani linaweza ku afford kumtumia private jet huyo jamaa ya kumpeleka Burundi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…