UMASIKINI BWANA
JF-Expert Member
- Oct 17, 2013
- 942
- 567
Hi wadau katika pilika pilika zangu za ufugaji nimegundua jambo muhimu kuhusu nguvu za uume.Kabla ya kuwapa mifugo yangu mashudu siku za nyuma madume ya ngombe mbuzi bata hawakua na nguvu kabisa.
Lakini sasa hivi kila baada ya dakika kadhaa jike anapumuliwa kisogoni si mbuzi bata wala mbuzi ni kukimbizana mtindo mmojabnikajaribu na mimi mwenyewe ni balaaa jaribu uone moto wa gesi
Lakini sasa hivi kila baada ya dakika kadhaa jike anapumuliwa kisogoni si mbuzi bata wala mbuzi ni kukimbizana mtindo mmojabnikajaribu na mimi mwenyewe ni balaaa jaribu uone moto wa gesi