Mashujaa FC karibuni NBC Premier ila mkitumika na Yanga SC kama Mbeya City FC nanyi tutawashusha Daraja

Mashujaa FC karibuni NBC Premier ila mkitumika na Yanga SC kama Mbeya City FC nanyi tutawashusha Daraja

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Tayari baada tu ya Kumaliza Mechi yenu huko Mkoani Mbeya nimemsikia Mmoja wa Kiongozi wenu Said Swedi 'Scud' akifurahia na kutamba kuwa Msimu ujao wa Ligi Kuu Timu zitawakoma.

Said Swedi Scud ni mwana Yanga SC lialia tena ni Mwanachama kabisa na alishawahi pia kuwa Mchezaji ( hasa Mshambuliaji ) Mwandamizi na Muhimu wa Yanga SC na alishatutungua mno Simba SC kila ikicheza na Yanga SC kama ambavyo hata aliyekuwa Winga tegemeo wa Simba SC Dua Bin Said nae Kawatesa villivyo Yanga SC kwa Kuwafunga kila alipokutana nao.

Mashujaa FC kama mtawabania Simba SC wasiwafunge basi tunaomba muwabanie pia na Yanga SC nao wasiwafunge ila mkikubali tu Kutumika na Klabu moja Kubwa yoyote nawahakikishia pamoja na Kusifika Kwenu kwa Kuroga na Uchawi bado mtashuka Ligi Kuu ya NBC na kujuta.

Nimeamua Kuwatahadharisha mapema.
 
Simba ya msimu ujao huyo Scud hata akiungana na Mwijaku, Vunjabei, Ally Kiba, Diamom na hata Zitto Kabwe watakufa tu.

Kigoma wako kama wamakonde wa mtwara, wanapenda sana Yanga, mfano Makumbi Juma na Sanifu Lazaro, ila wataijua Simba ni nani msimu uja😵ndoa shaka mkubwa
 
Tayari baada tu ya Kumaliza Mechi yenu huko Mkoani Mbeya nimemsikia Mmoja wa Kiongozi wenu Said Swedi 'Scud' akifurahia na kutamba kuwa Msimu ujao wa Ligi Kuu Timu zitawakoma.

Said Swedi Scub ni mwana Yanga SC lia lia tena ni Mwanachama kabisa na alishawahi pia kuwa Mchezaji ( hasa Mshambuliaji ) Mwandamizi na Muhimu wa Yanga SC na alishatutungua mno Simba SC kila ikicheza na Yanga SC kama ambavyo hata aliyekuwa Winga tegemeo wa Simba SC Dua Bin Said nae Kawatesa villivyo Yanga SC kwa Kuwafunga kila alipokutana nao.

Mashujaa FC kama mtawabania Simba SC wasiwafunge basi tunaomba muwabanie pia na Yanga SC nao wasiwafunge ila mkikubali tu Kutumika na Klabu moja Kubwa yoyote nawahakikishia pamoja na Kusifika Kwenu kwa Kuroga na Uchawi bado mtashuka Ligi Kuu ya NBC na kujuta.

Nimeamua Kuwatahadharisha mapema.
We jamaa kweli ni popoma ile draw ya 3 kati ya yanga vs mbeya city mechi ya mwisho ndo iliwashusha daraja

Kama yanga inawapenda mbeya city baada ya zile goli tatu isingerudisha, kumbuka kama mbeya city angeshinda ile mechi vs Yanga asingeenda kwenye playoffs
 
Tayari baada tu ya Kumaliza Mechi yenu huko Mkoani Mbeya nimemsikia Mmoja wa Kiongozi wenu Said Swedi 'Scud' akifurahia na kutamba kuwa Msimu ujao wa Ligi Kuu Timu zitawakoma.

Said Swedi Scub ni mwana Yanga SC lia lia tena ni Mwanachama kabisa na alishawahi pia kuwa Mchezaji ( hasa Mshambuliaji ) Mwandamizi na Muhimu wa Yanga SC na alishatutungua mno Simba SC kila ikicheza na Yanga SC kama ambavyo hata aliyekuwa Winga tegemeo wa Simba SC Dua Bin Said nae Kawatesa villivyo Yanga SC kwa Kuwafunga kila alipokutana nao.

Mashujaa FC kama mtawabania Simba SC wasiwafunge basi tunaomba muwabanie pia na Yanga SC nao wasiwafunge ila mkikubali tu Kutumika na Klabu moja Kubwa yoyote nawahakikishia pamoja na Kusifika Kwenu kwa Kuroga na Uchawi bado mtashuka Ligi Kuu ya NBC na kujuta.

Nimeamua Kuwatahadharisha mapema.
sio scub ni scud
 
Back
Top Bottom