Mashujaa leo kipigo chao si chini ya bao 2 toka Yanga. Dube anatupia ameshafunguliwa

Minjingu Jingu

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2023
Posts
1,072
Reaction score
2,384
Wachezaji hawa
1. Prince Dube
2. Aziz Ki
3. Chama

Lazima wote au baadhi wa/atupie. Hilo lipo wazi limepitishwa. Na Dube alifanyiwa maombi majini yaliyotupwa kwake na wazee wa Zanzibar yameondolewa. Sasa yupo huru kweli kweli atakuwa anatupia tu.

Aziz Ki naye amekaa sawa hakutakuwa na shida kiwango chake kimerudi upya kabisa ni moto wa gas hauna kuzima kwa maji.

Chama mlikuwa mnamasema goi goi na umri umeenda amenolewa na Mjerumani sasa anatisha, yupo ngangali kinyama.

Yanga imejipata imenawiri, imetakata kinyama. Yaani ni kuwaita tu watu kati hamna jingine. Mwendo wa kugawa dose tu kwa kadri ya ujio wa hawa vilaza. Kila mtu atapata haki yake hakuna kurukwa mtu.


DAIMA MBELE, NYUMA MWIKO.
 
Mwaka wa taabu
 
Kwanini Usiwe na subra
Kwanini usisubiri Muda Uongee?????
Muda ni wakili wa kweli.

KWA BAHATI MBAYA SANA CHAMA HATAKUWA SEHEMU YA MCHEZO WA LEO.


MWALIMU NYERERE ALIMA
"HAKUNA UMASIKINI MBAYA KAMA UMASIKINI WA FIKRA"

MWALIMU. JK NYERERE.
 
FT: Young Africans 0 : 0 Mashujaa Fc
Ni utani tu. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™πŸ™πŸ™πŸ‘πŸ‘πŸ‘
 
Maajabu hayatoisha .. Yaani kutoa sare na TP Mazembe unatoka kifua mbele na kusema wachezaji wenu wmerudi kwenye ubora wao?
 
Matokeo kama ya lubumbashi tu, mbona inajulikana.
 
Maajabu hayatoisha .. Yaani kutoa sare na TP Mazembe unatoka kifua mbele na kusema wachezaji wenu wmerudi kwenye ubora wao?
We hufahamu mpira.tumetoa sare nao wapi? Hebu weka kumbukumbu za Simba Vs TP Mazembe na Yanga Vs TP Mazembe
 
Yanga akipona sana anatoa sare 🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣
 
Yanga akipona sana anatoa sare 🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣
Nakuambia huu uzi utaukimbia. Mashujaa watake watafungwa wasitake watafungwa waruke juu waanguke watafungwa.
 
Kinyume na hapo tunafukuza mzungu na kuhamia kirumba.
 
Ushindi ni muhimu sana leo kwa Wananchi, hata kama kuna kukamiwa.
 
Tayari Dube kashafanya mauaji
 
shekhe Yahaya Jr, πŸ‘ŠπŸ’ͺπŸ”₯πŸ”₯
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…