Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23] baada ya kupewa madawa ya kichawi ya mwamposa? Ni za mda mfup tu..atajinyoosha yeye na bichwa lake.Dube atawanyoosha sana mzunguko wa pili
Vipi hapo??Maajabu hayatoisha .. Yaani kutoa sare na TP Mazembe unatoka kifua mbele na kusema wachezaji wenu wmerudi kwenye ubora wao?
Huwa sikosei mkuu labda nifanyiwe figisu kama ile match ya Simba ya Kimataifa. Ile ilikuwa draw.basi tu refa akafanya figisu.shekhe Yahaya Jr, 👊💪🔥🔥