Vijiti_Vyakuwashia_mkaa
New Member
- Mar 21, 2023
- 2
- 3
Mechi ya mkondo wa pili itachezwa lini!?Ushindi wao wa 3 - 1 walioupata leo dhidi ya Mbeya City ya Jijini Mbeya unawafanya kuwa na uhakika wa kupanda Ligi Kuu zaidi labda Mbeya City wakapindue meza nyumbani.
View attachment 2662644
Tarehe 22 alhamisiMechi ya mkondo wa pili itachezwa lini!?
Ile game ndiyo inawatafuna washuke wajinga sana vinginevyo sasa hivi Coastal Union F.C. ndiyo wangekuwa wanahangaika...!Hao Mbeya city washuke tu .
Niliwadharau sana Ile game wamecheza na Yanga.
Niliona wazi hawana hadhi ya kubakia ligi kuu.
Timu IPO hatarin kushuka ikapata goli tatu bila ajabu ndani ya dakika 20 zikarudi zote[emoji706][emoji706][emoji706]
Ni timu ya nyumbani ila naombea ishuke inadharirisha mkoa wetu.
Wabaki prison na Ihefu inatosha.
Sasa Kuna timu ya kuidindia yanga tz?!Ile game ndiyo inawatafuna washuke wajinga sana vinginevyo sasa hivi Coastal Union F.C. ndiyo wangekuwa wanahangaika...!
Ipo,ile anayocheza mkandaji Kibu D..Sasa Kuna timu ya kuidindia yanga tz?!
Wanaitamani mno ligi kuu, fikiria mpaka walipewa ofa kila goli limenunuliwa 400,000.Ile nyomi ya watu waliohudhuria hiyo mechi ilikuwa siyo ya dunia hii! Halafu walikuwa na vibe la hatari.
Hivi walilipia kweli kiingilio!! Au ndiyo ilikuwa 'fungulia mbwa'!!!!
Magoli ya timing baada ya hapo ni kuzuwia na kubinya nyanya mpira uisheIpo,ile anayocheza mkandaji Kibu D..
Mpira ni mbinu ukizidiwa ndo imeisha hiyo.Magoli ya timing baada ya hapo ni kuzuwia na kubinya nyanya mpira uishe