Mashujaa wa kweli Tanzania hawakumuogopa Hayati Dkt. Magufuli

Kampeni ya uchaguzi mkuu 2020 haitasahaulika, Magufuli hakuweza hata kutamka jina la Tundu Lissu hadharani.
 
Peter Msigwa : Nilimkatalia ndugu yangu Magufuli kuisaliti CHADEMA na wana Iringa

 
Umetokota,wale mashangazi hawana njaa kama unavyofkkiri baba zao wako vizuri na wao wamesoma na wako vizuri pia
 
Umetokota,wale mashangazi hawana njaa kama unavyofkkiri baba zao wako vizuri na wao wamesoma na wako vizuri pia
wako vizuri!!! unajua kuwa vizuri ni swala pana sana.

unadhani mama salma kakosa nini mpaka akagombea ubunge tena!!!
 
wako vizuri!!! unajua kuwa vizuri ni swala pana sana.

unadhani mama salma kakosa nini mpaka akagombea ubunge tena!!!
Wenye njaa wote walisalim amri wakaunga mkono juhudi,kuwa upinzani ni risk kwako kiuchumi,we jua wale mashangazi hawaendekezi njaa,wangeendekeza njas wangeunga mkono juhudi na wangepewa vyeo
 
Wenye njaa wote walisalim amri wakaunga mkono juhudi,kuwa upinzani ni risk kwako kiuchumi,we jua wale mashangazi hawaendekezi njaa,wangeendekeza njas wangeunga mkono juhudi na wangepewa vyeo
ndio maana nikakwambia wale hawatafuti ugali mkuu.unaelewa mtu akijiita mwanaharakati!!!
kwanza ni kosa kubwa sana kama mnawachukulia kama wapinzani wenzenu.
 
ndio maana nikakwambia wale hawatafuti ugali mkuu.unaelewa mtu akijiita mwanaharakati!!!
kwanza ni kosa kubwa sana kama mnawachukulia kama wapinzani wenzenu.
Nani mpinzani mimi mwanaharakati
 
Umepuuzwa na jumuia ya JF.
 
Mzee Shamte wa TPSF, alimsahihisha Magufuli juu ya private sector.
Aliishia kubambikwa kesi ya uhujumu uchumi na alifia jela mzee wa watu.
Magufuli alikuwa shetani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…