moondampwani
JF-Expert Member
- Dec 4, 2014
- 535
- 169
hivi inakuwaje tunalazimishwa tuwasahau mashujaa wengine wa taifa hili??
SABABU ni kuwa waliopigania uhuru wa nchi hii 99.9% ni waislam
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hivi inakuwaje tunalazimishwa tuwasahau mashujaa wengine wa taifa hili??
Mwandishi Mbona hujazitaja familia mbili? Bomani na Mbowe (baba wa Freeman) mengine nayakubali hasa laana iliyopo CCM ambayo kimsingi laana hiyo imeasisiwa na Nyerere mwenyewe.
SABABU ni kuwa waliopigania uhuru wa nchi hii 99.9% ni waislam
Mwandishi Mbona hujazitaja familia mbili? Bomani na Mbowe (baba wa Freeman) mengine nayakubali hasa laana iliyopo CCM ambayo kimsingi laana hiyo imeasisiwa na Nyerere mwenyewe.
Mzee Mohamed Said Vitabu Vyako Vinapatikana Stores Gani, Na Vipi Kuhusu Bei Zake
Mwanahistoria wetu mbona michango ya watu kama John Mwakangale, job Lusinde, George Kahama ,Peter Said Siyovelwa, Nangwanda sijaona, Jeremiah Kasambala hujaiainisha au wao hawastahili kukumbukwa ila hawa wa pwani tu? Au kwa vile majina yao hayashabihiani na utashi wako? Juu ya hayo, ukumbuke kuwa wakati wa kupigania uhuru UTP [ United Tanaganyika Party] ndio kilikuwa chama cha siasa cha wazungu na kiongozi wao alikuwa akiitwa Balydon na hao uliowataja wewe walikuwa ni wanachama na most likely sympathetic to the colonial cause!! Kiongozi wa UTP alikuwa mzungu na sio mwarabu wala mhindi!!
Kwa kulipa fadhila na kuonyesha shukrani zake, kwa kipindi fulani, Nyerere alikuwa anamlea pale kwake Msasani, mjukuu wa Mzee Mshume aitwaye Mwinyi Kiyate, baada ya babake na babu kufariki.