Mashujaa wasiofahamika ajali ya ndege PW Bukoba

Mashujaa wasiofahamika ajali ya ndege PW Bukoba

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,107
Reaction score
160,001
IMG-20221112-WA0013.jpg


Brenda na Lydia walikuwa ni wahudumu wa ndege ya Precision iliyopata ajali ziwani kule Bukoba.

Mabinti hawa warembo ni kama mchango haupo au ni kidogo sana, lakini ni hawa ndio walio watuliza akili abiria waliokuwa katika taharuki kubwa, ni hawa ndio waliogawa life jackets, na pia ni hawa ndio kwa kushirikiana na Majaliwa waliweza kufungua mlango.

Licha ya kwamba hawa walikuwa kazini lakini hakika waliifanya kazi yao kwa weledi mkubwa sana, hivyo basi wanastahili kuheshimiwa na kutambulika rasmi kama mashujaa wa taifa.
 
Hongera sana kwao,ila afande Majaliwa upepo umembeba anaonekana yeye tu ndo Anold Shoz Niga.
Mhubiri 9:11
[11]Nikarudi, na kuona chini ya jua, ya kwamba si wenye mbio washindao katika michezo, wala si walio hodari washindao vitani, wala si wenye hekima wapatao chakula, wala si watu wa ufahamu wapatao mali, wala wenye ustadi wapatao upendeleo; lakini wakati na bahati huwapata wote.

I returned, and saw under the sun, that the race is not to the swift, nor the battle to the strong, neither yet bread to the wise, nor yet riches to men of understanding, nor yet favour to men of skill; but time and chance happeneth to them all.
 
msanii pekee anayejulikana na mondi kimziki .muacheni majaliwa mda wake na mandonga
 
View attachment 2416306

Brenda na Lydia walikuwa ni wahudumu wa ndege ya Precision iliyopata ajali ziwani kule Bukoba.

Mabinti hawa warembo ni kama mchango haupo au ni kidogo sana, lakini ni hawa ndio walio watuliza akili abiria waliokuwa katika taharuki kubwa, ni hawa ndio waliogawa life jackets, na pia ni hawa ndio kwa kushirikiana na Majaliwa waliweza kufungua mlango.

Licha ya kwamba hawa walikuwa kazini lakini hakika waliifanya kazi yao kwa weledi mkubwa sana, hivyo basi wanastahili kuheshimiwa na kutambulika rasmi kama mashujaa wa taifa.
Nimemuona majaliwa anapiga kinana huku anaserebuka muziki, dogo anakula maisha huku mashujaa wakiwa wamesahaulika kabisa
 
Mhubiri 9:11
[11]Nikarudi, na kuona chini ya jua, ya kwamba si wenye mbio washindao katika michezo, wala si walio hodari washindao vitani, wala si wenye hekima wapatao chakula, wala si watu wa ufahamu wapatao mali, wala wenye ustadi wapatao upendeleo; lakini wakati na bahati huwapata wote.

I returned, and saw under the sun, that the race is not to the swift, nor the battle to the strong, neither yet bread to the wise, nor yet riches to men of understanding, nor yet favour to men of skill; but time and chance happeneth to them all.
Hakika ilinenwa! Majaliwa kwa manufaa ya nani? Ccm wanajua!
 
View attachment 2416306

Brenda na Lydia walikuwa ni wahudumu wa ndege ya Precision iliyopata ajali ziwani kule Bukoba.

Mabinti hawa warembo ni kama mchango haupo au ni kidogo sana, lakini ni hawa ndio walio watuliza akili abiria waliokuwa katika taharuki kubwa, ni hawa ndio waliogawa life jackets, na pia ni hawa ndio kwa kushirikiana na Majaliwa waliweza kufungua mlango.

Licha ya kwamba hawa walikuwa kazini lakini hakika waliifanya kazi yao kwa weledi mkubwa sana, hivyo basi wanastahili kuheshimiwa na kutambulika rasmi kama mashujaa wa taifa.
Mshana Jr nadhani umepata jibu kwenye nyekundu. Mhe. Bujibuji Simba Nyamaume kumbuka ukifanya kitu ambacho unalipwa kukifanya, unatimiza wajibu wako. Majaliwa hakuwa na wajibu wa kufungua huo mlango ila mabinti hao wawili warembo kama Antonnia walikuwa kazini!!!!
 
Back
Top Bottom