Mashujaa wasioimbwa: Unaikumbuka Italy iliyotwaa Kombe la Dunia 2006

 
Hii game haukufika xtra time grosso na del piero walimaliza game dkk 88
 
mkuu hata kugoogle umeshindwa...

game ilienda 0-0 kwa dakika 90.. extra time half time ya kwanza italy waligongesha miamba mara 2.. moja ni shuti la zambrotta nje ya box, ya pili ni gerladinho iligonga mwamba wa kulia,,,

extra time ya pili dakika ya 118 grosso ndio anafunga goli la kwanzaa.. wakati huo ujerumani walijua game inaenda penalti.. baada ya kufungwa ujerumani wakapanic na kuanza kushambulia wote kwa fujo ili warudishe goli.. ndipo wakapigwa counter na gerladinho pamoja na del piero likafungwa goli la pili dakika ya 120.. na baada ya hilo goli ujerumani wakakaaa chini wachezaji karibu wote kujua hawana ujanja.. na referee akamaliza mpira.

kama bado unabisha.. bishana na bbc link hiyo

BBC SPORT | Football | World Cup 2006 | Last-gasp Italy knock Germany out

Stunning late extra-time strikes from Fabio Grosso and Alessandro del Piero took Italy into the World Cup final at Germany's expense with a 2-0 win.

An absorbing semi-final seemed set for penalties until Grosso curled man of the match Andrea Pirlo's pass past Jens Lehmann with just one minute left.

Del Piero then finished an Italy break with a delicate chip into the corner.


Hii game haukufika xtra time grosso na del piero walimaliza game dkk 88
 
Uko sahihi mkuu
 
Ok tukirudi kwa vimo nimemkumbuka jorge compos wa Mexico omar mahadhi bin jabir pia hata juma kaseja anaingia hapa. Ni vipawa wanavyokuwa wametunukia na kuonyesha vimo waqt mwingine havisaidii kama huna kipaji.
Epl kuna Hugo Lloris.....zamani Shay Given ni makipa wafupi
 
Mimi nakumbuka ile Italy ya kina Bebeto
Jose Roberto gama de oliviera (bebeto )huyu alikuwa mbrazil mara ya mwisho alishiriki kuipatia kombe nchi yake mwaka wa 1994 aliibuka na mtindo wake akicheka na nyavu anakuwa anapepeta mikono yake ishara ya kubembeleza mtoto ambapo mkewe alijifungua waqt wa mashindano hayo . Kikosi hicho golie taffarel kule chama cha wananchi (cafu)pale kati marcio Santos mkoba huo ulimgeuza baggio penye sita kati kapteni dunga huko mbele sasa akina mauro silva akina sudi na masudi (zinho na mazinho )Romario de sauza ilikuwa khatari sana.
 
Italy walibebwa vs Australia
Nakuunga mkono mkuu. Mechi ile kama si juhudi za refa kuwapa Italy tuta dakika za lala salama, australia walikuwa wanaenda kushinda.

Bahati mbaya kwa Australia refa akatoa tuta dakika za salama huku mpigaji akiwa El capitano de la Roma, Fransisco Totti.
Inatokea mara chache sana katika nyakati muhimu kama hizo Totti akukose kwenye mkwaju wa penati.
 
Wote weupe hamna ngozi nyeusi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…