mkuu hata kugoogle umeshindwa...
game ilienda 0-0 kwa dakika 90.. extra time half time ya kwanza italy waligongesha miamba mara 2.. moja ni shuti la zambrotta nje ya box, ya pili ni gerladinho iligonga mwamba wa kulia,,,
extra time ya pili dakika ya 118 grosso ndio anafunga goli la kwanzaa.. wakati huo ujerumani walijua game inaenda penalti.. baada ya kufungwa ujerumani wakapanic na kuanza kushambulia wote kwa fujo ili warudishe goli.. ndipo wakapigwa counter na gerladinho pamoja na del piero likafungwa goli la pili dakika ya 120.. na baada ya hilo goli ujerumani wakakaaa chini wachezaji karibu wote kujua hawana ujanja.. na referee akamaliza mpira.
kama bado unabisha.. bishana na bbc link hiyo
BBC SPORT | Football | World Cup 2006 | Last-gasp Italy knock Germany out
Stunning late extra-time strikes from Fabio Grosso and Alessandro del Piero took Italy into the World Cup final at Germany's expense with a 2-0 win.
An absorbing semi-final seemed set for penalties until Grosso curled man of the match Andrea Pirlo's pass past Jens Lehmann with just one minute left.
Del Piero then finished an Italy break with a delicate chip into the corner.