Mashujaa wetu wa zamani bado wanathaminiwa katika kufundisha kizazi kilichopo mashuleni?

Mashujaa wetu wa zamani bado wanathaminiwa katika kufundisha kizazi kilichopo mashuleni?

Decruise

Member
Joined
Oct 31, 2024
Posts
9
Reaction score
14
Nataka Kujua mashujaa wa kipindi cha nyuma kama kina chifu mkwawa bado wana somwa kweli mtaala wa elimu wa sasa?
 
Chief mkwawa atasaidia nini katika evolution ya Artificial intelligence??
 
Chief mkwawa atasaidia nini katika evolution ya Artificial intelligence??
unaona umetoa bonge la point hivi unafikiri hata hiyo Artificial intelligence walioigundua hawa ku copy kutoka watangulizi wao?
Ndio maana waafrica tutawaliwa kifikra hadi mwisho wa dunia
 
unaona umetoa bonge la point hivi unafikiri hata hiyo Artificial intelligence walioigundua hawa ku copy kutoka watangulizi wao?
Ndio maana waafrica tutawaliwa kifikra hadi mwisho wa dunia
Artificial Intelligence ni new invention from this era. Kabla ya hapo ilikuwa myths tu kwenye movie. Alafu achana na huo msemo "kutawaliwa kifikra." Ni too cliché. Hakuna mtu kutawala fikra zako isipokuwa ujinga.
 
Nataka Kujua mashujaa wa kipindi cha nyuma kama kina chifu mkwawa bado wana somwa kweli mtaala wa elimu wa sasa?
Mashujaa wa kitu gani?

Hivi unawaletea wa-Tanzania wa sasa kuhusu habari-mfu za Kibanga ampiga mkoloni?? Zitawasaidia Nini??
 
unaona umetoa bonge la point hivi unafikiri hata hiyo Artificial intelligence walioigundua hawa ku copy kutoka watangulizi wao?
Ndio maana waafrica tutawaliwa kifikra hadi mwisho wa dunia
Kutawaliwa kifikra si ndio huku mtoto kumezeshwa historia ya Mkwawa ambayo haina impact yoyote kwenye maisha haya na mbaya zaidi historia yenyewe imepindishwa inauongo kibao.

Kweli ujinga Africa hautaisha leo
 
Back
Top Bottom