Wordsworth
JF-Expert Member
- Jan 14, 2019
- 1,191
- 3,360
- Thread starter
-
- #41
Watu hawataki kuwajibika kwenye nafasi zao.Yaan tatizo ni kubwa nafkir kuna mengi yanachangia. Kwanza, unakuta wanafunzi wengi hasa waliokulia bush uko anakuja kukutana na choo chaku flash akiwa chuo , ni wachache sn wana adapt na kua wastaarabu otherwise ni disaster.
Pia kwenye taasisi za umma ,yaan kuna ile hali ya "who cares?" Hakuna accountability kuwa tukikuta mazingira yako hv nan awajibishwe . Chuo kinaajir kampun yakufanya usaf ila hakuna mwenye time ya kukagua kiwango cha usaf kinachofanywa hasa mtu akiwa na interest na icho ki company . We got a long way to go .... Nenda Udom, Udsm , Cbe whatever u can name ,ni aibuuuuu . Sijui foreign students kwny vyuo vyetu hua wanatuonajee !!!!
Waongo hao. Walisoma kwa shida ipii?Poleni sana...
Wazee wenu walisoma kwa tabu sana, nyie mnataka urahisi urahisi...
Bila viatu...Waongo hao. Walisoma kwa shida ipii?
Lawama inakwendaje kwa chuo wakati hao wanafunzi wana miliki serikali yao na vyuo vingine Rais anapewa hadi gari huongozi hauna kosa hao wanafunzi ndio wanamakosaNdugu hapa wanafunzi hawawezi kukwepa lawama kwasababu ni watumiaji wa hivi vyoo. Lawama kuu zinaenda kwa uongozi wa chuo, ikifuatiwa na serikali inayotakiwa kusimamia.
Kabisaaa.Decca.
Aliyeanzisha chuo ni uongozi wa wanafunzi? Umeanzisha chuo unashindwa vipi kukisimamia? Hata hao viongozi wa wanafunzi wamewekwa na wenye chuo na wanapolala ni tofauti na wanafuzi wengine.Lawama inakwendaje kwa chuo wakati hao wanafunzi wana miliki serikali yao na vyuo vingine Rais anapewa hadi gari huongozi hauna kosa hao wanafunzi ndio wanamakosa
NakaziaDuh nchi hii tuna safari ndefu sana. Imagine watu hata basic hygiene hawawezi ku-control mambo makubwa itakuwaje?
Uongozi wawa wanafunzi hawana kaziAliyeanzisha chuo ni uongozi wa wanafunzi? Umeanzisha chuo unashindwa vipi kukisimamia? Hata hao viongozi wa wanafunzi wamewekwa na wenye chuo na wanapolala ni tofauti na wanafuzi wengine.