Mashuleni wanafunzi madarasani watakaaje na msongamano huwa ni mkubwa?

Mashuleni wanafunzi madarasani watakaaje na msongamano huwa ni mkubwa?

Return Of Undertaker

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2012
Posts
4,572
Reaction score
26,885
Huu muongozo haulezi wanafunzi watakaaje madarasani na kawaida wanafunzi kubanana ndani ya darasa moja ni hatua gani itachukuliwa kuwalinda wanafunzi hasa upande wa social distance?

IMG_20200528_191133.jpg
 
Wanatumia madarasa kuanzia form one hadi form give ambao hawapo shuleni au form five tu kwa shule zenye high school tu.

Chadema mnapenda kupotosha kila kitu hadi mnakuwa misukule.
 
Wanatumia mafarasa kuanzia form one hadi form give ambao hawapo shuleni au form five tu kwa shule zenye high school tu.

Chadema mnapenda kupotosha kila kitu hadi mnakuwa misukule

Sasa kama kuandika kingereza huwezi siukae kimya kimya kama mchattle, sasa Form give ndo nini Jamani.

Eti mafarasa empty mind
 
Yaani CCM zero brain. Ndalichako kaamua kumtumikia shetani.
 
Acha ujinga wanatumia mafarasa kuanzia form one hadi form give ambao hawapo shuleni au form five tu kwa shule zenye high school tu.

Chadema mnapenda kupotosha kila kitu hadi mnakuwa misukule
umemuelewa mleta mada ? ana hoji msongamano sio madarasa yapi yatatumika mkuu, naomba nikukumbushe tuna walimu wachache katika shule nyingi je mwalimu ataweza kujigawa kufundisha darasa moja mara 3 ? , na nikukumbushe kuna shule hazina o level na zina madarasa machache kwa mfano kule namtumbo Songea kuna Shule inaitwa Pamoja High school ina madarasa matano tu yenye ukubwa wa kama sebule za kawaida hizi za kitanzania kila moja, unakuta form 6 wapo zaidi ya mia mbili je unadhani hakuna msongamano ? haya kuhusu wa vyuo vikuu unakuta room moja wanalala watoto 6-8 na hapo waenda club wapo wanaenda kujiachia huko club kwenye misongamano unadhani Corona itawaogopa ?
 
umemuelewa mleta mada ? ana hoji msongamano sio madarasa yapi yatatumika mkuu, naomba nikukumbushe tuna walimu wachache katika shule nyingi je mwalimu ataweza kujigawa kufundisha darasa moja mara 3 ? , na nikukumbushe kuna shule hazina o level na zina madarasa machache kwa mfano kule namtumbo Songea kuna Shule inaitwa Pamoja High school ina madarasa matano tu yenye ukubwa wa kama sebule za kawaida hizi za kitanzania kila moja, unakuta form 6 wapo zaidi ya mia mbili je unadhani hakuna msongamano ? haya kuhusu wa vyuo vikuu unakuta room moja wanalala watoto 6-8 na hapo waenda club wapo wanaenda kujiachia huko club kwenye misongamano unadhani Corona itawaogopa ?
Walikaaje na form five of course corona haipo tena Tanzania
 
Wanatumia madarasa kuanzia form one hadi form give ambao hawapo shuleni au form five tu kwa shule zenye high school tu.

Chadema mnapenda kupotosha kila kitu hadi mnakuwa misukule.
Jenga hoja,watu wakijadili ya maana wewe unaiingiza chadema why?
Jenga hoja makini
 
Walikaaje na form five of course corona haipo tena Tanzania
mkuu ni kujibana sana madogo wanajibana kiasi kwamba hakuna nafasi ya kupita,mtu akitaka kutoka class anasogeza meza za wenzie,kuhusu corona kuisha siwezi kusema lolote maana leo nimeona kuna marehemu ameacha taarifa kwamba atakufa kwa corona,taarifa kaacha jana leo kafa,ujumbe huo upo mitandaoni so mimi siwezi kusema corona ipo au imeisha,time will tell
 
Hapana Mkuu umeandika uzushi tu

By the way corona tumeishinda hakuna mauaji wala nini
Nyie CCM, mnalindwa na majambazi, wachawi, mafisadi na wezi wa kila aina.
Mnaua, mnateka, mnamwaga damu zisizo na Hatia. Sasa mnataka kufanya mauaji ya halaiki/ kimbari madarasani.
 
Chadema acheni ujuaji,kwa sasa wanaoenda SHULE ni kidato cha sita, ili kuhskikisha kuwa watoto wanafanya social distancing itawapasa kutumia madara na mabweni yaliyokuwa yakitumiwa na wale wa kidato cha tano ambao hawatakuwepo shuleni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
umemuelewa mleta mada ? ana hoji msongamano sio madarasa yapi yatatumika mkuu, naomba nikukumbushe tuna walimu wachache katika shule nyingi je mwalimu ataweza kujigawa kufundisha darasa moja mara 3 ? , na nikukumbushe kuna shule hazina o level na zina madarasa machache kwa mfano kule namtumbo Songea kuna Shule inaitwa Pamoja High school ina madarasa matano tu yenye ukubwa wa kama sebule za kawaida hizi za kitanzania kila moja, unakuta form 6 wapo zaidi ya mia mbili je unadhani hakuna msongamano ? haya kuhusu wa vyuo vikuu unakuta room moja wanalala watoto 6-8 na hapo waenda club wapo wanaenda kujiachia huko club kwenye misongamano unadhani Corona itawaogopa ?
Yani unataka kusema hadi wanavyuo nao wanahitaji mwongozo wa kutokwenda club?
 
Yani unataka kusema hadi wanavyuo nao wanahitaji mwongozo wa kutokwenda club?
hahahaha unaona sasa tatizo lako boss ? hujanielewa mimi sijasema hivo nilichomaanisha ni kwamba sehemu kama club hua kuna msongamano inaweza kuwa sehemu moja wapo ya kupatia Corona ikaletwa chuoni kwa room mates na baadae chuo kizima,kumbuka WHO imetoa tahadhari juu ya mikusanyiko ya watu wakati huu,
 
Kamanda nakuja province ya lubumbashi baada ya Uchaguzi unipokee
karibu sana mkuu Bia yetu. ukiwa na time zaidi tutafika mpaka virunga National park ujionee Okapi,baada ya hapo tunaenda park de la nsele ,ila usilete tu stori za Siasa mkuu😂
 
Back
Top Bottom