Kwa Sasa Siwezi Sema Chochote Wacha Vyombo Huru Vifanye Kazi Zake , Mimi Nikiongea Nitaonekana Mchonganishi Na Kwa Kweli Sina Amri Ya Kusema Chochote Toka Kileleni
Kwa Sasa Siwezi Sema Chochote Wacha Vyombo Huru Vifanye Kazi Zake , Mimi Nikiongea Nitaonekana Mchonganishi Na Kwa Kweli Sina Amri Ya Kusema Chochote Toka Kileleni
Kama Operative/agent(s) wa "TIS" wako lousy namna hii je hao mabosi wao watakuwa vipi?
Kwa Sasa Siwezi Sema Chochote Wacha Vyombo Huru Vifanye Kazi Zake , Mimi Nikiongea Nitaonekana Mchonganishi Na Kwa Kweli Sina Amri Ya Kusema Chochote Toka Kileleni
Mimi nasimama na nilichosema hapa kuwa Shy is a snitch. Kama huamini soma yale aliyoandika wakati waandishi wa mwanahalisi wametishiwa kuuwawa. Au soma kile alichoandika ile siku ya huzuni ambapo vijana wadogo Mike na Max walikamatwa na polisi.
Bonge la snitch anayejipendekeza kwa vyombo vya usalama. Shy ni mtu wa kuogopwa kama ukoma.
Kwa statement kama nakubaliana na MWK kuwa Shy is more of them than us. hii inanikumbusha issue ya kina max maana kabla ya hapo bwana shy alikuja na story kuwa alikamatwa na watu akapelekwa kwenye nyumba ya mtu binafsi, perhaps ndio walimnunua by that time.
Mimi nasimama na nilichosema hapa kuwa Shy is a snitch. Kama huamini soma yale aliyoandika wakati waandishi wa mwanahalisi wametishiwa kuuwawa. Au soma kile alichoandika ile siku ya huzuni ambapo vijana wadogo Mike na Max walikamatwa na polisi.
Bonge la snitch anayejipendekeza kwa vyombo vya usalama. Shy ni mtu wa kuogopwa kama ukoma.
naombeni link ya alichoongea huyu bwana kwenye issue ya KUbenea. Halafu nadhani jina lake halisi lipo kwenye signature yake kama sijakosea. This guy asitishie watu hapa. He is very cheap snitch!
Good,,, no worries mate. Calm down. It's OK bro Shy.Kwa ufupi pale Usalama kuna Classmate wangu - Tena Mwanamke tumetoka mbali na tunaenda mbali
naombeni link ya alichoongea huyu bwana kwenye issue ya KUbenea. Halafu nadhani jina lake halisi lipo kwenye signature yake kama sijakosea. This guy asitishie watu hapa. He is very cheap snitch!
nataka kujua si kwa ubaya, its seems wewe ni controversial member humu jf, thats why am interested to know, thats all.its me and who are u
Mfano Nikisema Sijui Chochote Kuhusu Hii Habari Naonekana Muongo Kwa Kweli Sijui Chochote Na Siwezi Kusema Chochote Mpaka Sasa Hivi Mpaka Nitakapo Pata Ruhusa Ya Kuongea Na Wahusika Katika Sehemu Zinazoruhusiwa Kisheria , Ningependa Kuongozana Na Mwandishi Mmoja Machachari Siku Hiyo Ili Aje Kuripoti