Kwa Ufupi Mimi Ni
Male - Miaka 25
Kazi - Ninajihusisha Na Shuguli Nyingi Kwa Sasa Nitoka Kazini Nimerudi Chuoni Kuongeza Ujuzi Katika Masuala Ya Fore , Ila Nashugulika Sana Na Mambo Ya Computer , Ufundi , Uchunguzi , Kufundisha Na Mengi Yanayohusu Vifaa Vya Mawasiliano
Napenda - Kuogelea , Kusafiri , Kuchunguza ,kumwona Mwanamke Ninayempenda Mara Kwa Mara Na Kumpigia Simu Mara Kwa Mara .
Sipendi - Kwa Kawaida Sina Neno Sipendi Naamini Kila Kitu Kinafanywa Kwa Sababu Fulani Na Malengo Fulani .
Naishi Wapi - Naishi Dar Es Salaam Napenda Kuhama Hama Kila Baada Ya Miezi 3 Kwahiyo Sina Sehemu Maalumu Ambayo Ninaishi Zaidi Ya Miezi 3
Sasa Na Wewe Niambie Basi Mama Paroko Au Niandikie Katika Pm
Au Piga +255784 360204