Kwa maana hio unajiongeza? Unaweza hata kuoa kabisa.Si lazima iwe hivyo,wako wanachukuliwa from kwenda nao kwny different functions from there to movies/to clubs/mpk huko kwny mgegedo na wengine wanachukuliwa not for the sole purpose ya ku-sex.
Haina limitations.
Shemeji yupi? Mzimu wa Paprika?
Kwanini kwa Uber wakati naweza kulileta mwenye??
Hahah kuna washkaji hua wanaoa hata hawa machangu wa huku kitaa,so ni maamuzi tu mkuu.Kwa maana hio unajiongeza? Unaweza hata kuoa kabisa.
Masika imeanza, mvua inanyesha tangu jana mfululizo usiku kucha hadi dakika hii bado inanyesha.
Shemeji yenu kaenda kwao kwa ajili ya Pasaka maisha yamekuwa magumu sana.
Tupeane mbinu mbadala kuepuka upweke na mvua hizi
😀 😀 😀 😀 😀[emoji30][emoji30][emoji2][emoji2][emoji12][emoji12][emoji12] Twenzetu Ghana View attachment 1418839
Jr[emoji769]
Nitakuwa mpenzi mtazamaji.Ukija utanimalizia mabungo, maana nnavoyala kwa ufundi stadi.... Ukiwa unaniangalia utashindwa kuvumilia ukajikuta unaniomba....bora utume Kwa uber tuu, Ila kama utaweza kujikaza na kuvumilia mafoido yangu bila kuniimba njoo tuu.
Nitakuwa mpenzi mtazamaji.
Sabun si ipo
yuko twitter huko anatuonyesha video zake tu watu wakipakua kinyesi na corona hiiHaya bana mkuu msalimieni Tally Hunter.
Hahah anatumia jina gani huko mkuu?yuko twitter huko anatuonyesha video zake tu watu wakipakua kinyesi na corona hii
Waoh ushapata ilo kumbatio jamaniKuna baridi jamani...
Natamani kumbatio matata.
Hahah aaaarh wapi nashangaa tu,maana najua hii hua sio mikato yake.Unataka kwenda kumsalimia?
tally hunterr1Hahah anatumia jina gani huko mkuu?