Masika imeanza...

Masika imeanza...

Si lazima iwe hivyo,wako wanachukuliwa from kwenda nao kwny different functions from there to movies/to clubs/mpk huko kwny mgegedo na wengine wanachukuliwa not for the sole purpose ya ku-sex.

Haina limitations.
Kwa maana hio unajiongeza? Unaweza hata kuoa kabisa.
 
Kwanini kwa Uber wakati naweza kulileta mwenye??

Ukija utanimalizia mabungo, maana nnavoyala kwa ufundi stadi.... Ukiwa unaniangalia utashindwa kuvumilia ukajikuta unaniomba....bora utume kwa uber tuu, Ila kama utaweza kujikaza na kuvumilia madoido yangu bila kuniomba njoo tuu.
 
[emoji30][emoji30][emoji2][emoji2][emoji12][emoji12][emoji12] Twenzetu Ghana
Masika imeanza, mvua inanyesha tangu jana mfululizo usiku kucha hadi dakika hii bado inanyesha.

Shemeji yenu kaenda kwao kwa ajili ya Pasaka maisha yamekuwa magumu sana.

Tupeane mbinu mbadala kuepuka upweke na mvua hizi
IMG-20200413-WA0111~2.jpeg


Jr[emoji769]
 
Ukija utanimalizia mabungo, maana nnavoyala kwa ufundi stadi.... Ukiwa unaniangalia utashindwa kuvumilia ukajikuta unaniomba....bora utume Kwa uber tuu, Ila kama utaweza kujikaza na kuvumilia mafoido yangu bila kuniimba njoo tuu.
Nitakuwa mpenzi mtazamaji.
 
Back
Top Bottom