Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nunua mwavuli!Tupeane mbinu mbadala kuepuka upweke na mvua hizi
Hapo nimeelewa mchepuko tu, hizo nyingine ni nini?Tinder, badoo, escorttz, mchepuko, na kama utakuwa unahitaji link za telegram nishtue tusaidiane mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Niko hapa nasoma ushauri unaopata toka kwa wataalamu
mbinu zipi unawaza uzinzi tuu hapo!Masika imeanza, mvua inanyesha tangu jana mfululizo usiku kucha hadi dakika hii bado inanyesha.
Shemeji yenu kaenda kwao kwa ajili ya Pasaka maisha yamekuwa magumu sana. Tupeane mbinu mbadala kuepuka upweke na mvua hizi
Karibu kwetu Kwa MtogoleTualikane Wana JF
Mbona mwenzenu Yesu ameshafufuka nyie kuliko ni bado?Pole Sana. Mm wakwangu tumejikarantini pamoja na Yesu tangu ijumaa. Tutafufuka kesho jioni.
Kesho ndio atajitokeza hadharani kwa mitume wake. Kwahiyo mpk hiyo kusho na sisi tutajifungia ndaniMbona mwenzenu Yesu ameshafufuka nyie kuliko ni bado?
Pole sana mkuu na bahati mbaya zaidi mkeo tupo nae karantiin huku vipimo vimemnyima kufika kwao[emoji4][emoji4][emoji4]
Joke
Sent using Jamii Forums mobile app