Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kijana nitakutoa bushaPole sana mkuu na bahati mbaya zaidi mkeo tupo nae karantiin huku vipimo vimemnyima kufika kwao[emoji4][emoji4][emoji4]
Joke
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni mzoefu.This Rain ni Lockdown by default tu, we tafuta movie zako za Mijegejo anza kuangalia
Wakija wale wa bahat mbaya uko wap? Nije? Usilaze Damu ataondoka Tuesday Morning ukiwa unaenda Kazini.
Sent using Jamii Forums mobile app
That's great news,welcome to the world.One smart lady tied me up!
[emoji3][emoji3][emoji3]sasa kwani kua karantiin si pamoja na usalama wa wakwe zake mkuu
Shemeji yetu ni yule mfanyakazi wa ndani au. Hongera kwa kupata demu maana ulikuwaga ukika na uzi uko single.Masika imeanza, mvua inanyesha tangu jana mfululizo usiku kucha hadi dakika hii bado inanyesha.
Shemeji yenu kaenda kwao kwa ajili ya Pasaka maisha yamekuwa magumu sana. Tupeane mbinu mbadala kuepuka upweke na mvua hizi
[emoji3][emoji3][emoji3]Mkuu kwani mimi kukutaarifu alipo mkeo ili usiangaike kumtafuta nimekose?Kijana nitakutoa busha
Nini mbaya?Hivi hamumuogopi Mungu?
Utalijua kosa lako busha likishatoka[emoji3][emoji3][emoji3]Mkuu kwani mimi kukutaarifu alipo mkeo ili usiangaike kumtafuta nimekose?
Sent using Jamii Forums mobile app