Masikini anapenda sana ngono kuliko tajiri

Ngono ndio starehe pekee kwa mwanaume, tena ukiwa na pesa, ngono hufanyika mara dufu
 
Naunga mkono hoja. Matajiri ndio wazinzi wa kiwango cha juu kabisa sema mazingira wanayofanyia mambo yao sio rahisi kila mtu kuingia, viwanja anavyoingia Rostam aziz unafikiri mapaparazi wa mange kimambi watafikaje, masikini wanabebeshwa tu lawama kwa sababu habari zao zinapatikana kirahisi sana, hivi mtu kama Yusuph Bakhresa mbona yule kwa kumuangalia tu anaonekana kiwembe.
 
Ni kweli kabisa mkuu. Mo kila siku yupo abroad anakula bata ila pale melt mhasibu mwenye degree analipwa laki 3 kwa mwezi kuingia kazini saa 2 asubuhi kutoka saa 12 jioni mapumziko ya lunch ni saa 7 mpaka saa 8. Ila cresit za uchapa kazi zinaenda kwa Mo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…