Mpwa natazama hizi gemu zote kwa pamoja...
Bayern na Barca ni shiiiidaaaa...
Kesho Madrid akichapwa naye itakuwa burudani...
Kama walichokipata Brazil leo wafaransa kinawakuta
Bayern Hafiki mbali...
Usimtukane mamba kabla hujavuka mto
Bayern Hafiki mbali...
Kweli mkuu nimeona,duh niliona 3-1 ilikuwa nyingi kumbe majamaa wanajielewa
Kweli mkuu nimeona,duh niliona 3-1 ilikuwa nyingi kumbe majamaa wanajielewa
haya ya Gadiola ndo Yanga watakayo fanya kwa waarabu...
kwa kipigo hiki wanachokipata leo bayern dhidi ya porto kwa kweli guardiola inatakiwa ajipange sana ili aweze kutamba champions league.baada ya kutoka ratiba ya robo nilisema bayern wamepata kibonde,kumbe.........