Atakuwa amemficha kwenye sketi na si mapajani.Wema amemficha mapajani.
Mkuu mrejesho? vp jamaa miguu chali?wanajamvi leo hii kila kona kumezagaa skendo ya diamond ya kufanya utapeli baada ya kupokea advance kutoka kwa promota na kutotokea kwenye shoo uko arusha,promota anadai alimlipa diamond advance pamoja na tiketi ya denge pamoja na kugharamia garama za malazi na chakula lakini kapotezea shoo inavosemekana jana watu waliingia ktk shoo lakini adi saa nane za usiku jamaa hakutokea kilichofuata ni mashabiki kufanya vurugu na kualibu ukumbi na madansa wa diamond kupelekwa lupango.swali je huu ndo mwanzo wa kupolomoka kwa diamond kama enzi zile za kina mr nice?nawasilisha.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Pengine huyu mleta mada alisharest in pc
Hawezi kurudi huyuMkuu mrejesho? vp jamaa miguu chali?
🤣🤣🤣🤣🤣Hawezi kurudi huyu
Atakuwa amemficha kwenye sketi na si mapajani.
Wanakufa km Umomy kwa kubadili IdPengine huyu mleta mada alisharest in pc
Ndio amefilisika kifedha?sipo mbali na mtoa mada... huyu dmond wimbo wa mwisho kuutoa ni UKIMUONA
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hivi ameshafilisika??
Umomi alibadili ID tu?Wanakufa km Umomy kwa kubadili Id
Siyo msamba.....ni Sama sotimwisho wa ubaya ni aibu.
post hii ya kumchafua ni ya 2011 ila kijana kapiga msamba sio hatua [emoji16][emoji16]