Hio sio TBT???????Hali ya mchezaji wa zamani wa yanga kipaji kimekufa?
Nimeikuta mahali wengi wanasema amekuwa boda boda
View attachment 2237246
Acha mihemko wengine tunamjua vizuri huyo nchimbi yupo fresh.
Kama mkewe anatembelea gari yeye aendeshe boda? Kivipi?
Ana maduka mawili hapo songea alijenga kitambo tu, hapo amechill tu mtaani na washkaji akaona apige picha,
Pili geita ndio wamemfanyia uhuni hawajamlipa ada ya usajiri ndio maana amegoma hadi alipwe,
Acheni kukuza mambo
Mkuu mimi leo kiukweli sitaki sana ugomvi kabisa.Jambo gani limekuzwa hapo bwana mdogo nimeuliza nahitaji ufafanuzi
Btw songea unaishi sehem gani nije nikutembelee
Karibu mshangano
Jibu zuri sana hili kwa mpumbavu kama mleta mada.Kwan kuendesha boda boda sio kazi? Mnawadharau sana hao watu ila kiukweli wengi wanaendesha maisha yao na familia zao vizur tu si ajabu ndio maana wanawatindua dada na wake zenu.
Kama ni yeye kweli basi hii picha ameipiga kimaskini sana! Mchezaji uliyechezea vilabu kadhaa vya ligi kuu, huwezi kujiweka katika mazingira ya urafu rafu kiasi hiki.Hali ya mchezaji wa zamani wa yanga kipaji kimekufa?
Nimeikuta mahali wengi wanasema amekuwa boda boda
View attachment 2237246
Kweli mkuuKama ni yeye kweli basi hii picha ameipiga kimaskini sana! Mchezaji uliyechezea vilabu kadhaa vya ligi kuu, huwezi kujiweka katika mazingira ya urafu rafu kiasi hiki.
Bado ana nafasi ya kicheza ligi kuu! Atoke huko Kijijini kabla mambo hayajaharibika kabisa.
Wapi nimedhihaki kazi ya boda boda ? Kwa kipaji cha ditram hakupaswa kuwa dereva wa boda bodaKwan kuendesha boda boda sio kazi? Mnawadharau sana hao watu ila kiukweli wengi wanaendesha maisha yao na familia zao vizur tu si ajabu ndio maana wanawatindua dada na wake zenu.
Yaani wamsajili wenyewe na bado wampige misumari kwa manufaa ya nani?Pale yanga walimpiga misumari akakaa mwaka mzima bila kufunga yanga wanaendekeza sana uchawi kazi yao kubwa kushika mabango ya wenzao.
Ameshindwa hata kumuiga Msuva! Mwenzake amezinguana na waajiri wake Wydad Casablanca, akarudi nyumbani na kujikita kwenye mazoezi! Na tunamuona anaitwa kwenye timu ya Taifa.Kweli mkuu
Hili suala zito sana kwa mchezaji mwenye kipaji kama yeye ukianzia tangu alipokuwepo Polisi hadi kusajiliwa na yangaAmeshindwa hata kumuiga Msuva! Mwenzake amezinguana na waajiri wake Wydad Casablanca, akarudi nyumbani na kujikita kwenye mazoezi! Na tunamuona anaitwa kwenye timu ya Taifa.
Sasa yeye anaona ni ujanja kurudi Kijijini na kwenda kupuyanga mtaani na bodaboda iliyochoka! Asipokuwa makini, muda si mrefu atakuwa kama hao Wanakijiji wenzake. Sisi wenzake Kijijini huwa tunaenda kusalimia tu na kuondoka. Maisha na mishe zote ziko Mjini!
Umeziona picha za wachezaji wengine mpaka unasema hivyo au maana umeingiza mambo mengine kabsa utafikir umehadathiwa! au unataka azungukage na cameraman mtaani?Kama ni yeye kweli basi hii picha ameipiga kimaskini sana! Mchezaji uliyechezea vilabu kadhaa vya ligi kuu, huwezi kujiweka katika mazingira ya urafu rafu kiasi hiki.
Bado ana nafasi ya kucheza ligi kuu! Atoke huko Kijijini kabla mambo hayajaharibika kabisa.