😄 🤣 😂 hadi mwashambwa. Mbona anamsifia sana Makonda na hakuna analopata?Kila mtu ana haki ya kupata matokeo chanya kwenye kila jambo zuri analofanya haijalishi ni Nabi, Likud au Lucas mwashambwa
Alipocheza kilitokea nini maana mleta uzi kaongea utafikiri wote wametazama hiyo mechi. Nini kilitokea kimaamuzi hadi huyu mleta uzi aseme kuna uonevu?Jana RABAT wamecheza au Uzi umeuona Twitta huko umekurupuka kuleta rekebisha jana Hakukua na match ya ligi ya BOTOLA tunajua sana sisi wawekezaji.