Masikini ndo wenye pesa na ukitaka kutajirika watengeneze masikini

Wazungu wameliona hili na ndiyo maana wametengeneza mix economy. Sehemu kama Masaki matajiri watajenga apartments za ki-sure 200 kwa makubaliano na jiji kuwa 20 kati ya hizo zitakuwa affordable home au social housing ambayo kodi yake itakuwa ni fraction tu ya wanauolipa matajiri.

Hapa wameshapiga mahesabu kuwa kutakuwa na hoteli na maduka yatakayotia ajira kwa masikini wakiwa huduma matajiri hawa
 
Hio mada ina ingawaje mwandishi ameshindwa kuiweka bayana..... Ukwe
li ni kwamba maskini Ndo wengi kwa hio wale wajanja wanatengeza ubunifu katika bidhaa zao ili maskini waweze kununua. Bidhaa zako zikinunulika Kwa maskini wewe lazima uwe tajiri Kwa sababu maskini Ndo wengi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona masikini ni watumiaji, na watumiaji ni watu wote wakiwemo matajiri. Walio au wanao buni bidhaa (consumer goods) mbalimbali lengo lao si kuwalenga masikini bali watumiaji wengi. Maana si kweli kuwa matajiri hawali au hawanywi bidhaa za Azam au Coca-Cola, au hawavuti sigara/ kunywa pombe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao matajiri wako wangapi? Tajiri gani anaenda kununua maji ya Viroba? au Juice ya 300/ au soda ya 500?
Hii concept ni ngumu sana kwa wewe kuilewa mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa kuna ukweli wa uongo, mtajiri sehemu yoyoye ni wa kuhesabika, ndiyo maana nikikwambia ntajie tajiri Tanzania utawataja tu kuwa unawajua, mengi mmoja na watu wote wa mtaa wako wakinunua Azamu juice definitely utasema hiyo juice imekuwa consumed na maskini kwani tajiri hapo ni moja tu. Pambana na hali yako bila kutingisha ya mwenzio
 
Nazani maada ni kubwa kwako, inakuzidi uwezo

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
Unacho kijua hapo ni.neno pambana na hali yako, Hahaaa

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…