Masikini ndo wenye pesa na ukitaka kutajirika watengeneze masikini

HUO NI UKWELI MKUU.LAKINI ATALALAMIKA UKIMWAMBIA ANUNUE TUNDA FRESH AU ANYWE MAJI YA BOMBANI!
 
kuna kitu cha kujifunza hapo wenye utashi mkubwa walishatajilika mda mrefu coz walishacheza na mindset zetu maskin tunapenda nini then wakatake as advantage now tunawaita matajil utazan wamezaliwa nao.
 
kuna kitu cha kujifunza hapo wenye utashi mkubwa walishatajilika mda mrefu coz walishacheza na mindset zetu maskin tunapenda nini then wakatake as advantage now tunawaita matajil utazan wamezaliwa nao.
Huo ndo ukweli wenyewe mkuu.
 

unachoongea ni vitu vya kufikirika....sii kweli...nitarudi na nondo...
 
Leta nondo zako then nitaleta fact zaidi ya hizi hapi then tucompee. Kwa sasa nasubilia nondo

Mkuu toa official definition ya "maskini" ,maana umeongea tu bila kutoa definition!

Hapo ndio kuna uchawi wote!

I presume hujui maana ya "Maskini"!

Kama unajua please itoe hapa tu-establish basis ya discuss...

Ulichotoa hapo kwenye post ni lawama ambazo hazina basis kabisa!

Please andaa definition itupe hapa tuanze mbio!
 
Acha kushona so nitoe definitinion ili upate Base ya kuandaa nondo? Hahahaaa unachekesha.

Kama siijui mimi why wewe usitoe? Toa wewe difinition kupingana na nilicho sema. Sasa mlolongo wa nini?
 
Acha kushona so nitoe definitinion ili upate Base ya kuandaa nondo? Hahahaaa unachekesha.

Kama siijui mimi why wewe usitoe? Toa wewe difinition kupingana na nilicho sema. Sasa mlolongo wa nini?

ushakua wa ajabu sasa!

umeanza ku-discuss kishambenga sasa.....

post yako inatakiwa i-base na two extremes 'maskini' na "tajiri'.....tengeneza definitions zao ndio uzitumie kujenga hiyo hoja ya nani anamnyonya nani....!

wewe naona umegeuza kama una vita na mimi vile..

brother,what up wit'chu?
 
Hivi umepitia tena comment yako ya kwanza?

Rudia kuisoma mara hata 10 unless ulipost ukiwa uzingizini
 
Mimi ndo uwezo wangu umeishia hapa sasa nasubilia kutoka kwako. Au huelewi?

Mimi nisha maliza kuelezea sasa unacho paswa kufanya ni kuja na Maelezo.mbadala ndo hayo nasubilia. Hizi zingine ni blablaa za ku buy time
 
Mimi ndo uwezo wangu umeishia hapa sasa nasubilia kutoka kwako. Au huelewi?

Mimi nisha maliza kuelezea sasa unacho paswa kufanya ni kuja na Maelezo.mbadala ndo hayo nasubilia. Hizi zingine ni blablaa za ku buy time

Poa basi nitakuja na nondo zangu...!
 
Ndio maana masikini wengi wako makanisani kutajirisha watu wawili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…