Joho haumjui"" !!? ni gavana wa jiji la Mombasa"
jibu la hili swali lako nenda Google mkuu" Mimi nitaishia kukupiga kamba tu
Umebugi hiyo wala si yanguWasiiondoe kwani tumepata bahati pia ya kuona picha yako na kukupata physically itakuwa rahisi ukileta uchochezi humu
Duuh una moyo mgumu mkuuJe unajua dogo aliwahi kumtusi mondi kuwa kamla mama yake tena ningekuwa mimi ningempa na kansa ya marinda
Vp madame CajojoIla huu ugonjwa wa cancer ya koo tujikumbushe visababishi vyake vikuu ni vipi?? mfano mvutaji wa sigara sana,mnywaji wa pombe kali na oral sex vingine?
Amepost leo fb.ni yake mkuuKweli dimpoz anaumwa na taarifa aliyoitoa yeye mwenyewe kupitia instagram yake alisema yuko vizuri anasubiri tu kupona vizuri.
Kuhusu hiyo account ya fb sidhani kama ni yake.
Duuuh,madame lakini chanzo kikuu ni nini?Mrs leo governor anaitwa i Joho,halafu kansa ya koo nafikiri itakuwa early stage kabisa,ila hiyo ni kansa mbaya hawezi kunywa maji wala kula inakula koo na kufanya shimo kama maji mnampa vitone navyo vikipita mnaona,maumivu yake sasa Mungu amfanyie wepesi.
Punguza dhihaka.Kwa sisi mwenye iman ndogo huyu kapigwa kipapai na WCB
Naludia tena kusema kwa sisi mwenye iman ndogo na potofu
Iyo kansa ya katupiwa na WCB
Hahaa,usemalo ni sahihi but sio kwamba hawana acc,wasanii wote nchi nzima wanazo acc,ila kuna namna tunajua ya kuangalia account husika ya msanii.Watu wengi waarufu TZ hawatumii fb hizo pages wanazitengeneza watu tu ili kupata followers mara utakutana page inapost sana habari za diamond mara kuna shindano sijui kaweka kwa mashabiki wake anadai atatoa simu ukifuatilia hakuna anayepewa zawadi. Fuatilia utajua na wasanii wengi kila mara wanasema walishajitoa fb sema ndiyo hivyo ndiyo maana pages zinazojifanya ni za vicoba zikiwa na majina ya viongozi bado zinaendelea na watu wanapigwa tu daily....
Hiyo Official account yake ya Instagram, kaorodhesha mitandao yote anayotumia na kwa jina lake hakuna facebook hapo.
Basi inshaallahKuna kipindi hata Fally Ipupa nadhani aliugua hiyo ila sasa hivi naona yuko vema,so na Omary naamini itakuwa hivyohivyo
Hakuna cha namna wala nini hizo fake accounts za fb na wengi wameachana na fb kwasababu ni ngumu kuverify kama hiyo account ni yake, ndiyo maana watu wanatapeli watu fb kwa kutumia majina ya watu kuliko mtandao mwingine. Ni rahisi kujua acc fake ya msanii insta kuliko fb na wengi wametaliwa sana.Hahaa,usemalo ni sahihi but sio kwamba hawana acc,wasanii wote nchi nzima wanazo acc,ila kuna namna tunajua ya kuangalia account husika ya msanii.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sanajibu la hili swali lako nenda Google mkuu" Mimi nitaishia kukupiga kamba tu
nafahamu but natahadharisha hiyo akaunti kutangaza maradhi ya kansa....alichosemaga mwenyewe ni kwamba kapasuliwa koo basi...hakusema kama anaumwa kansa.mbona anaumwa muda mrefu hadi alipelekwa SA kwaajili ya matibabu" na alivyotoka kwenye matibabu " akawa anaishi mombasa kwa JOHO " hata makonda alitaka kumpatia nyumba maalum kwaajili ya special treatment " akamjibu kuwa mombasa yupo kwenye mazingira salama pia" but kwa sasa sijui kama amesharudi dar au la "!!
daaah masikini" ama kweli hujafa hujaumbika" Pole omary nyembo