Masikini Ommy Dimpozi Mungu akusimamie kaka

Masikini Ommy Dimpozi Mungu akusimamie kaka

Mrs leo governor anaitwa i Joho,halafu kansa ya koo nafikiri itakuwa early stage kabisa,ila hiyo ni kansa mbaya hawezi kunywa maji wala kula inakula koo na kufanya shimo kama maji mnampa vitone navyo vikipita mnaona,maumivu yake sasa Mungu amfanyie wepesi.
Duuuh,madame lakini chanzo kikuu ni nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu wengi waarufu TZ hawatumii fb hizo pages wanazitengeneza watu tu ili kupata followers mara utakutana page inapost sana habari za diamond mara kuna shindano sijui kaweka kwa mashabiki wake anadai atatoa simu ukifuatilia hakuna anayepewa zawadi. Fuatilia utajua na wasanii wengi kila mara wanasema walishajitoa fb sema ndiyo hivyo ndiyo maana pages zinazojifanya ni za vicoba zikiwa na majina ya viongozi bado zinaendelea na watu wanapigwa tu daily....
Hahaa,usemalo ni sahihi but sio kwamba hawana acc,wasanii wote nchi nzima wanazo acc,ila kuna namna tunajua ya kuangalia account husika ya msanii.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaa,amezungumza hayo lin? Na leo lin? Umebugi man

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo Official account yake ya Instagram, kaorodhesha mitandao yote anayotumia na kwa jina lake hakuna facebook hapo.
Mastar wa Tz wengi sana hawatumii facebook kitambo toka instagram imeshika kasi na kila wakihojiwa wanasema unless we ni mgeni wa mambo hayo.
Pingana na hii pia
ommy2.JPG
 
Hahaa,usemalo ni sahihi but sio kwamba hawana acc,wasanii wote nchi nzima wanazo acc,ila kuna namna tunajua ya kuangalia account husika ya msanii.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna cha namna wala nini hizo fake accounts za fb na wengi wameachana na fb kwasababu ni ngumu kuverify kama hiyo account ni yake, ndiyo maana watu wanatapeli watu fb kwa kutumia majina ya watu kuliko mtandao mwingine. Ni rahisi kujua acc fake ya msanii insta kuliko fb na wengi wametaliwa sana.
 
mbona anaumwa muda mrefu hadi alipelekwa SA kwaajili ya matibabu" na alivyotoka kwenye matibabu " akawa anaishi mombasa kwa JOHO " hata makonda alitaka kumpatia nyumba maalum kwaajili ya special treatment " akamjibu kuwa mombasa yupo kwenye mazingira salama pia" but kwa sasa sijui kama amesharudi dar au la "!!

daaah masikini" ama kweli hujafa hujaumbika" Pole omary nyembo
nafahamu but natahadharisha hiyo akaunti kutangaza maradhi ya kansa....alichosemaga mwenyewe ni kwamba kapasuliwa koo basi...hakusema kama anaumwa kansa.
 
Back
Top Bottom