Masikini Ommy Dimpozi Mungu akusimamie kaka

Masikini Ommy Dimpozi Mungu akusimamie kaka

Naona kuna wengine hawaamini kama kweli huyu kaka ananwa, ni kweli anaumwa japo am not sure kama ni kansa mana hiyo akaunt iliyotoa taarifa hatuna uhakika kama ni yake, ila kuumwa koo anaumwa na alifanyiwa operation mwanzoni mwa mwaka huu huko south africa, ila hatujui anaendeleaje. Ila kwa maelezo yake alipofanyiwa interview baada ya ile operation ni kwamba ni tatizo lililomuanza muda mrefu alikuwa anapat tabu sana kumeza chakula hata maji kwa muda mrefu na alipewa ushauri wa kwenda kumuona dokta na akiwa kwenye harus ya alikiba huko mombasa na gavana mmoja hv aliemshuhudia akipata shida kumeza wakati wakipata breakfast.
Mh mombasa? Aisee itakua kapata kwa kunyonywa sana uume maana mombasa si ndo michezo yako yakheee
 
Mwanamuziki mwenye sauti laini yenye kukonga nyoyo za mashabiki asiyekuwa na makuu kutoka mkoani kigoma anayetamba na kibao cha #yanje Omary faraji nyembo "ommy dimpoz" amethibitisha ni mgonjwa katika akaunti yake ya facebook leo asubuhi.Ameomba maombi ya mashabiki wake na wanainchi wote kwa ujumla kwa kuwa anasumbuliwa na ugonjwa wa kansa ya koo.

Mungu amfanyie wepesi kijana wetu arejee katika hali yake.
Kama Kuna mtu yeyote ana namba yake au ndugu yake tafadhali anifahamishe Pm.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ikiwezekana aombe kibali maalum kutoka wizara ya afya ili aruhusiwe kutumia mafuta ya bangi (cannabis oil) kwani tafiti mabalimbali zilizofanyika zimethibitisha uwezo wake ktk kutibu kansa especially zikiwa bado zipo katk hatua za awali( initial satages).

Pia hata kwa wagonjwa wenye kansa, mafuta hayo husaidia kupunguza maumivu makali.

References

(*)Donald I Abrams, Manuel Guzman. Cannabis in cancer care. Clinical Pharmacology & Therapeutics 97 (6), 575-586, 2015

(**) Ana Tečić Vuger et al., Cannabis in oncology. Libri oncologici: Croatian journal of oncology 44 (2-3), 51-57, 2016
 
Mmmhh ndugu. yangu cancer ya Koo achana nayo kabisaaa
 
siku hizi feki akaunti zipo nyingi sana....
mbona anaumwa muda mrefu hadi alipelekwa SA kwaajili ya matibabu" na alivyotoka kwenye matibabu " akawa anaishi mombasa kwa JOHO " hata makonda alitaka kumpatia nyumba maalum kwaajili ya special treatment " akamjibu kuwa mombasa yupo kwenye mazingira salama pia" but kwa sasa sijui kama amesharudi dar au la "!!

daaah masikini" ama kweli hujafa hujaumbika" Pole omary nyembo
 
Huyu jamaa alikuwa anajiona sana kana kwamba yeye hawezi kupata matatizo.Kwanza kabisa kwenye kifo cha Mkali wa Freestyle,Mangwea alitamka maneno ya dhihaka sana.Pili alipokwazana na Msanii mwenzie alikimbilia kuhusisha Mzazi wa mwenzie katika jamii yetu Tunasema Mama ni Mama vyovyote awavyo.Lakini yote kwa yote tunaomba Allah ampe uponyaji wake.Ugua pole Omary
exactly alichomfanyia mondi kiliumiza mioyo mingi ya sisi ambao tunajua mama zetu hawako kwenye mstali,ambao aidha tunaishi na fedheha hii tukiificha iwezekanavyo na kukimbilia msaada wa mungu wabadilike,mtu anakuja anaitumia kama kiki aaaaaghhhh
 
Kweli dimpoz anaumwa na taarifa aliyoitoa yeye mwenyewe kupitia instagram yake alisema yuko vizuri anasubiri tu kupona vizuri.
Kuhusu hiyo account ya fb sidhani kama ni yake.
 
Back
Top Bottom