Masikini Simba Sport Club

Hivi mleta mada unajua unaweza ua mtu kwa kutokukusudia? Utani wa kindezi sio kabisa. Masikini Manara atakuwa amepata mshituko wa haja.
 
Chiroba,firoba,khiroba,[emoji36][emoji36]virobaaaaaaaa aaaah mtoa mada utaua watu bana.............
 
maskini utapoteza mda wako bure kusubiria mapovu..
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Hakuna uhusiona maana hatuna wawakilishi wa muungano.
 
Chanzo: Mama yako mzazi


Sent using Jamii Forums mobile app
 
HIZO NI DALILI ZA KUOGOPA JESHI LA WATU 9
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…